Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Liverpool hutoka kwenye Makundi au kwenye 16 Bora, haina Utamaduni wa kutolewa Semi Fainal.
Kikubwa tujipange namna ya kumuadhibu Real Madrid kwenye Fainali.
Yule mwambia wa wasafi aliyetabiri live kuwa villareal anamtoa buyern ,Leo kasema Tena bila kupepesa macho kuwa Liverpool anatolewa na villareal 😅😅
Maake kwanza nicheke kidogo

