Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool hutoka kwenye Makundi au kwenye 16 Bora, haina Utamaduni wa kutolewa Semi Fainal.

Kikubwa tujipange namna ya kumuadhibu Real Madrid kwenye Fainali.

Yule mwambia wa wasafi aliyetabiri live kuwa villareal anamtoa buyern ,Leo kasema Tena bila kupepesa macho kuwa Liverpool anatolewa na villareal 😅😅

Maake kwanza nicheke kidogo
 
Yule mwambia wa wasafi aliyetabiri live kuwa villareal anamtoa buyern ,Leo kasema Tena bila kupepesa macho kuwa Liverpool anatolewa na villareal

Maake kwanza nicheke kidogo
Hivi hili jukwaa unadhurula la nini wakati msimu huu umeshindwa kutufunga katika 3 games tulizocheza
 
Game ya City v Leeds itakuwa maana, City tie yao Bado Ni ngumu.
Madrid anaitaj draw pekee atwae ubingwa so anaweza akapumzisha key players wake wengi ili kutunza nguvu kwa ajili ya 2nd leg.!
City anawaza akipumzisha anaweza kukosa vyote Yani EPL na UCL..
Tuombe MUNGU leo tushinde nyingi ili tuwe na mzigo mwepesi 2nd leg though Villarreal sio wepesi kivile
man city angekua na game ngumu weekend ingekua poa sana, maana asingeweza kuweka full mkoko.......
hata hivyo sio vibaya, wametumia nguvu nyingi sana
 
Wazee mkeka wangu umebaki Liverpool tu. Uhakika wa ushindi plus goli 2+ upo?

Kama hakueleweki ni cash out kabisa.
 
Adjustments.jpg
 
Unai Emery itambidi awe technically secure mechi ya leo, Liverpool ina transitional threats Mane, Luis Diaz & Salah, kuwazuia inabidi usicheze risky footie instead awaache Liverpool washambulie thru settled attacks, so may be akiplay back 5 na akaobserve positional discipline & compactness kwenye last defensive line inaweza kupunguza idadi ya magoli may be, then asubiri 2nd leg labda home atmosphere itambeba, may be, so Unai Emery be patient & humble, never rush utaumia.
 
Unai Emery itambidi awe technically secure mechi ya leo, Liverpool ina transitional threats Mane, Luis Diaz & Salah, kuwazuia inabidi usicheze risky footie instead awaache Liverpool washambulie thru settled attacks, so may be akiplay back 5 na akaobserve positional discipline & compactness kwenye last defensive line inaweza kupunguza idadi ya magoli may be, then asubiri 2nd leg labda home atmosphere itambeba, may be, so Unai Emery be patient & humble, never rush utaumia.
Uchambuzi bora sana..
But still I believe Liverpool itashinda kwa goal mingi tu...
 
Game ya City v Leeds itakuwa maana, City tie yao Bado Ni ngumu.
Madrid anaitaj draw pekee atwae ubingwa so anaweza akapumzisha key players wake wengi ili kutunza nguvu kwa ajili ya 2nd leg.!
City anawaza akipumzisha anaweza kukosa vyote Yani EPL na UCL..
Tuombe MUNGU leo tushinde nyingi ili tuwe na mzigo mwepesi 2nd leg though Villarreal sio wepesi kivile

Kupumzisha haisaidii kitu,sisi tulimfunga zile 4 Barca pale anfield.ilikuwa weekend tunacheza na Newcastle tukashinda 3-2 origiiii.wakati huo Barca tayari ubingwa wa Spain ameshachukua alichokifanya akapumzisha wachezaji wake wote isipokuwa Vidal yeye alicheza kipindi kimoja tu cha pili.ila walivyokuja anfield walikura 4 hapo licha ya wachezaji wake wote kupumzika.

Kupumzika labda kuepukA majeruhi.
 
Game ya City v Leeds itakuwa maana, City tie yao Bado Ni ngumu.
Madrid anaitaj draw pekee atwae ubingwa so anaweza akapumzisha key players wake wengi ili kutunza nguvu kwa ajili ya 2nd leg.!
City anawaza akipumzisha anaweza kukosa vyote Yani EPL na UCL..
Tuombe MUNGU leo tushinde nyingi ili tuwe na mzigo mwepesi 2nd leg though Villarreal sio wepesi kivile
Hii kupumzisha wachezaji hua lina matokeo mchanganyiko. Kwa mfano wekedi hii iliyoisha unajua hawakucheza Real Madrid gemu yao ilistishwa kuwapa muda kujiadaa na gemu pale Ethad matokeo yake wamepigika.

YNWA
 
Unai Emery itambidi awe technically secure mechi ya leo, Liverpool ina transitional threats Mane, Luis Diaz & Salah, kuwazuia inabidi usicheze risky footie instead awaache Liverpool washambulie thru settled attacks, so may be akiplay back 5 na akaobserve positional discipline & compactness kwenye last defensive line inaweza kupunguza idadi ya magoli may be, then asubiri 2nd leg labda home atmosphere itambeba, may be, so Unai Emery be patient & humble, never rush utaumia.
Hahaha duuuh unajua ndicho kilichomkuta Bayern Munich aisee yaani yule Kapteni wa Villarreal ni beki nadhani ana miaka 36 hivi lakini jamaa alikua kisiki huku akitoa maelekezo kwa wale makinda anaocheza nao pale nyuma...

Baada ya kukutana ma El Cholo mara mbili msimu huu na zote akachezea basi sina shaka hata acheze 7 pale nyuma naamini wataachia.

Shinda yangu hapa ni ile highline yetu kwa hawa ma dogo wawili Dajuma na Samuel Chakuwezi wanakimbia balaa na wapo clinical sana yaaani hao inabidi leo Fabinho, Konate na VVD wawe tayari kukimbia inapobidi hakuna namna.

Otherwise wengi wanadhani hawa ni under dogs lakini kuwapiga Juventus na Bavarians ina maanisha wana mipango ya kutuumiza hivyo umakini kutopoteza pasi, ku maintain position,high alertness ya move zao, Salah asifosi sana maana najua watakomaa nao atoe kwa wengine akiona angle zinakua ngumu, tutumie kona vyema nk tutakua salama.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom