Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Hapana haipo hivyo kwani ndugu Kipara anataka makombe yote mawili ndugu yaaani atapambana mpaka mwisho.SHALLOM GUYS
Tuangalie Mienendo ya Man city kwa jicho la kimpira Pep ameshaona hana uhakika wa kuitoa Real Madrid anachokifanya ni kuhakikisha kwamba hapotezi game ya EPL
Kimpira Madrid ndo timu ya pili msimu huu ambayo haiangalii Home ad Away wao wanachojua ni kucheza mpira kutumia chance wanazopata na kutumia makosa unayoyafanya mpinzani sasa pep ameshashtuka hilo
Sijui ni mimi tu ndo naliona hili au?
TU NA KIKOSI KIKUBWA SANA SANA MSIMU HUU NA IJAYO
LIVERPOOL CHAMA KUBWA 🔥🔥🔥
Kombe ambalo alicheza karata zake na akafeli kutokana ma KDB kutokua fiti kabisa ni FA tu lakini kwingine anapambana sana ahakikishe anayadaka yote mawili.
YNWA
