Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Slim chances kupata huu ubingwa ni sisi na lipo wazi especially Manchester City wakianza kurudi kwenye ubora wao kama mechi ya juzi

Lakini We are Liverpool we fight to last second regardless msimamo unasema aje.

Bil Shankly alisema wa kwanza ni kwanza tu wa pili ni kama hamna kitu 1st is 1st second is nothing hivyo jamaa yangu mie nasimama na Bill mzee baba hapa kunyanyua mikono ni mpaka pale aidha tuchapike ama kipenga cha mwisho tarehe 22 Mei nadhani ndio Ligi inaisha.

No retreat no surrender ama ukipenda ya Mo Salah Never Give Up.

Umeuliza tulipotelea wapi. Ni hapa
Sare ya Brentford ugenini
Sare ya Chelsea ugenini
Sare ya Manchester City ugenini
Hizo gemu ilikua za ushindi lakini wachezaji walisinzia wakati muhimu sana matokeo yake ndio hii pointi 1 sasa inaonekana hapa.

YNWA
Mimi nasema gemu ambazo zinaweza kuwa sababu ya kutunyima ubingwa ni liverpool 2-2 brighton, na leicester 1-0 liverpool hii gemu leicester walikuwa na injuries Kibao Salah na Mane waliunderperfom sana
 
Adjustments.jpg
 
Slim chances kupata huu ubingwa ni sisi na lipo wazi especially Manchester City wakianza kurudi kwenye ubora wao kama mechi ya juzi

Lakini We are Liverpool we fight to last second regardless msimamo unasema aje.

Bil Shankly alisema wa kwanza ni kwanza tu wa pili ni kama hamna kitu 😂😂😂😂😂 1st is 1st second is nothing hivyo jamaa yangu mie nasimama na Bill mzee baba hapa kunyanyua mikono ni mpaka pale aidha tuchapike ama kipenga cha mwisho tarehe 22 Mei nadhani ndio Ligi inaisha.

No retreat no surrender ama ukipenda ya Mo Salah Never Give Up.

Umeuliza tulipotelea wapi. Ni hapa
Sare ya Brentford ugenini
Sare ya Chelsea ugenini
Sare ya Manchester City ugenini
Hizo gemu ilikua za ushindi lakini wachezaji walisinzia wakati muhimu sana matokeo yake ndio hii pointi 1 sasa inaonekana hapa.

YNWA
Na ile everton alionyimwa na man city😃😃😃 ile point ilituumiza wote everton na liverpool.
 
Hapa sare ya Brentford na chelsea ndo zilituvuruga, sare ya Mancity ni bargain kutokana na quality yao na venue.
Mkuu nimesema hio Manchester City maana ki ukweli ile gemu tulicheza vyema tulipopigwa goli tukisawazisha tulitulia tuliiii.

YNWA
 
Na ile everton alionyimwa na man city😃😃😃 ile point ilituumiza wote everton na liverpool.
Yule refa wakishuka daraja kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 68 nakwambia watamsaka alipo ndugu yaaani itakua BIG ISHU aafu akatokea mkuu wa marefa kuwaomba msamaha Everton pale ndio kabisa alitifua mambo. Yaaani VAR hata kumshauri refa akacheki mwenyewe pale kwenye ki TV hakuna...

Lakini pia sare ya Liverpool vs Tottenham maana ile gemu mapema tu Harry Kane alitakiwa ale nyekundu ajabu nayo alibakia hata refa kwenda kwenye ki TV hakuna kisa tu Harry ni Kapteni wa England khaa double standards.

YNWA
 
Mimi nasema gemu ambazo zinaweza kuwa sababu ya kutunyima ubingwa ni liverpool 2-2 brighton, na leicester 1-0 liverpool hii gemu leicester walikuwa na injuries Kibao Salah na Mane waliunderperfom sana
Mkuu Brighton hua wakiwa na kikosi kizima wanakwenda na sisi jino kwa jino katika gemu 4 za miaka ya hivu karibuni tumeshinda 1 na wao wameshinda 1 na tumetoka sare 2 hivyo utaona wakiwa kamili hua wanatumudu vyema tu.

Leicester ile ilikua hatukua clinical maana hata Rogers mechi ile alicheza na mark shift back line ajabu walituzima safi kabisa.

YNWA
 
Gemu na aston villa bro man city ajipange, tukishinda zetu zote na huakika Captain Stiv G anatupa kombe. Sijui ni kwa nn ila nina amin ivyo
Mkuu hatuna kingine zaidi ya imani.

Hivi Uefa hawa vijana wa Unai na wapo clinical sana kwenye kaunta zao na hii highline yetu tusimame vipi pale nyuma je Konate ama Matip na pale kati aanze Keita ama Hendo na je mbele tusimame vipi Diaz, Mane na Salah ama namna gani. Kimbaya zaidi hawa Villarreal hawana nyumbani na ugenini yaaani wao wanapaki treni aafu wanameza na kumeza mashambulizi aafu kaunta moja tu kwao goli watapata duuh huyu Unai noma sanaaaa.

YNWA
 
Mkuu Brighton hua wakiwa na kikosi kizima wanakwenda na sisi jino kwa jino katika gemu 4 za miaka ya hivu karibuni tumeshinda 1 na wao wameshinda 1 na tumetoka sare 2 hivyo utaona wakiwa kamili hua wanatumudu vyema tu.

Leicester ile ilikua hatukua clinical maana hata Rogers mechi ile alicheza na mark shift back line ajabu walituzima safi kabisa.

YNWA

Sisi kucheza vizuri inategemea katikati kacheza nani, hiyo mechi ya sare na Brighton kati alicheza ox, Jones na Milner na Henderson yaani viungo wengine hawakuwepo lakini hata leicester ilikuwa hivyo hivyo.
 
Gemu na aston villa bro man city ajipange, tukishinda zetu zote na huakika Captain Stiv G anatupa kombe. Sijui ni kwa nn ila nina amin ivyo
Wewe mwenyewe una game za villa ,kama Steve g anawapenda Sana ,basi akaongee na bodi ya ligi mpewe point za bure dhidi yake

Kwanza mkikaa vibaya hata yeye atawaweka ,na hata angalia sijui yeye ni Liverpool game ya kwanza mmepata ushindi mwembamba mbona alikaza ?

Unaonesha namna gani ni mtoto mdogo Sana kijana ,!
 
inauma kweli, sijui tutumie mbinu gani kuondoa utawala wa City, 2018/19 kombe lilikua lakwetu kabisa kuliko msimu huu ila tulufeli wapi sijui

We've to accept the truth kwamba this year ni wa Man City tayari tumezinduka tukiwa tumeshachelewa kwani gape la points tulilokuwanalo dhidi ya Man City lilikuwa ni kubwa sana.
 
Kwakweli Klopp katengeneza Timu nzuri sana lakini ukweli ni kwamba katengeneza Timu katika Kipindi kisicho sahihi cha Utawala wa Pep Guardiola.
Mpaka sasahivi mafanikio tukiyopata tulistahili zaidi ya haya.
Nahofia Pep kuwa kama Ferguson kutamba kwa almost 2 decades.
Na upo uwezekano mkubwa wa Klopp kuondoka EPL bila ya kubeba tena Kombe la EPL.

Yote maisha haya.
 
Kipindi cha kwanza mpira ulichezwa dakika 28 tu yaaani dakika 20 hawa Everton walizipoteza kwa kuanguka hovyo nk....

Ilifika mahala mtangazaji Jim Belgian akasema Lampard anatumia mbinu za El Cholo maana ule mpira wao wa leo ligi ya Uingereza hauchezwi vile kabisaaaa.

YNWA
Kabisa mkuu, maana walijua kufungwa lazima wafungwe tu ila yule Dogo Gordon alitupeleka mkuu sijui aliikamia game?
 
Kwakweli Klopp katengeneza Timu nzuri sana lakini ukweli ni kwamba katengeneza Timu katika Kipindi kisicho sahihi cha Utawala wa Pep Guardiola.
Mpaka sasahivi mafanikio tukiyopata tulistahili zaidi ya haya.
Nahofia Pep kuwa kama Ferguson kutamba kwa almost 2 decades.
Na upo uwezekano mkubwa wa Klopp kuondoka EPL bila ya kubeba tena Kombe la EPL.

Yote maisha haya.
Akili yangu inaniambia liverpool wachukua hili kombe..

Tusubiri muda useme.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom