Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Aisee namna gani hii pointi 1 itapunguzwo pale huyu Kipara na vijana wake wa paniki...
Kipara ana mechi na Newcastle, Westham, Leeds, Wolverhampton, Aston Villa hapo lazima moja alale ama sare hakuna namna na ndio nafasi pekee kwetu ya kuzoa EPL ya 20.
YNWA

...hizo nyingine watajuta kuingia uwanjan ni kipigo na 3+ goal