Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Wakapambana na Blackburn hawa watupisheee.Hawa wanatakiwa waende Championship, nishabiki kichaa pekee wa Liverpool anaweza kuwaonea huruma Everton.
YNWA
Wakapambana na Blackburn hawa watupisheee.Hawa wanatakiwa waende Championship, nishabiki kichaa pekee wa Liverpool anaweza kuwaonea huruma Everton.
Origi sio mchezaji mzuri ila wakipangwa wachezaji 10 wa epl wenye kismati ya kufunga Og na 1Origi has always been a decent player to us.He scored very important goals to give us our sixth Europe trophy.His goal versus everton last season is one of the attributes we are in champions league this season...He has scored again today to give us an assurance of three important points in our chase of a premier league title...in our chase of a quadraple..
He demands some respect than Michael Owen.Than Luis Suarez.Than Coutinho.Than Emre....on his way to Milan.
Will always remember his decence.Will always remember his lucky goals...
Ni muda mwafaka Origi sasa aodoke kwa faida yake, ni kwamba anahitaji dakika nyingi uwanjani na kwa LIVERPOOL hawezi kuzipata kutokana na wanaomtangulia tazama pale mbele Bobby, Diaz, Salah, Jota, Mane, Ox, Taikumi kwa msimu huu hawa nadhani wana dakika nyingi kuliko Origi.Wakuu, hivi msim ujao hatuta kuwa na Origi?Honestly jamaa ni game changer aisee.
Umetumwo na naniii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Le Captain yupoooo mpaka kama vile 2024 au 2025 🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿imagine bado kijana na anacheza hivi je akishakua sogea miaka itakua ajeeeee.Hivi kweli tunashindwa kumtoa sadaka japo Handerson ili Origi abaki
Ila leo nimefurahi kapteni wetu alipumzika kama Magwaya alivyopumzika Jana.Umetumwo na naniii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Le Captain yupoooo mpaka kama vile 2024 au 2025 🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿imagine bado kijana na anacheza hivi je akishakua sogea miaka itakua ajeeeee.
YNWA
Hendo kama jina lake moja kati ya watu tunaowahitaji kuliko unavyodhani #YNWAIla leo nimefurahi kapteni wetu alipumzika kama Magwaya alivyopumzika Jana.
Kuliko kumuuza Origi ni bora akaondoka Huyu Jordan jamani.
Subili kilio![]()
Jordan Henderson ana zali tu yule dogo kua Kapteni wa Liverpool maana ukitazama kwenye stat kama kigezo cha huo Kapteni wala hatomboi...ukimlinganisha output yake na MF za washidani wetu ama pia kwa baadhi ya wachezaji wetu pale utaonaIla leo nimefurahi kapteni wetu alipumzika kama Magwaya alivyopumzika Jana.
Kuliko kumuuza Origi ni bora akaondoka Huyu Jordan jamani.