Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Origi has always been a decent player to us.He scored very important goals to give us our sixth Europe trophy.His goal versus everton last season is one of the attributes we are in champions league this season...He has scored again today to give us an assurance of three important points in our chase of a premier league title...in our chase of a quadraple..

He demands some respect than Michael Owen.Than Luis Suarez.Than Coutinho.Than Emre....on his way to Milan.

Will always remember his decence.Will always remember his lucky goals...
Origi sio mchezaji mzuri ila wakipangwa wachezaji 10 wa epl wenye kismati ya kufunga Og na 1
 
Wakuu, hivi msim ujao hatuta kuwa na Origi? Honestly jamaa ni game changer aisee.
Ni muda mwafaka Origi sasa aodoke kwa faida yake, ni kwamba anahitaji dakika nyingi uwanjani na kwa LIVERPOOL hawezi kuzipata kutokana na wanaomtangulia tazama pale mbele Bobby, Diaz, Salah, Jota, Mane, Ox, Taikumi kwa msimu huu hawa nadhani wana dakika nyingi kuliko Origi.

Japo ana magoli yake ya ki legend lakini hayajamsaidia kutokua bench warmer pale Liverpool hakika namtakia mema Ac Milan.

Pale AC Milan akijituma hivi naona akipata namba kikosi cha kwanza.

YNWA
 
Hivi kweli tunashindwa kumtoa sadaka japo Handerson ili Origi abaki
Umetumwo na naniii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Le Captain yupoooo mpaka kama vile 2024 au 2025 🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿imagine bado kijana na anacheza hivi je akishakua sogea miaka itakua ajeeeee.

YNWA
 
Umetumwo na naniii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Le Captain yupoooo mpaka kama vile 2024 au 2025 🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿imagine bado kijana na anacheza hivi je akishakua sogea miaka itakua ajeeeee.

YNWA
Ila leo nimefurahi kapteni wetu alipumzika kama Magwaya alivyopumzika Jana.

Kuliko kumuuza Origi ni bora akaondoka Huyu Jordan jamani.
 
Baller
Luis_Diaz_%F0%9F%A4%A4%0A%0Afollow_%40outsideanfield_for%0A%0A_all_things_%23LFC_%F0%9F%91%8A%...jpg
 
Ila leo nimefurahi kapteni wetu alipumzika kama Magwaya alivyopumzika Jana.

Kuliko kumuuza Origi ni bora akaondoka Huyu Jordan jamani.
Jordan Henderson ana zali tu yule dogo kua Kapteni wa Liverpool maana ukitazama kwenye stat kama kigezo cha huo Kapteni wala hatomboi...ukimlinganisha output yake na MF za washidani wetu ama pia kwa baadhi ya wachezaji wetu pale utaona

Yaaani akiwepo uwanjani na asipokuwepo hakuna tofauti yotote kimatokeo sana sana naonga anacheleweshi mashumbulizi na yale ma back pass yake.

Ana impact ya kawaida sana klabuni japo kigezo hua wanasema ni mhamasishaji mzuri sana pale inapohitajika huko vyumbani hua anasimama vyema sana kama Kapteni lakini uwanjani olololo badoo sana.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom