Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mane. Second goal.
1650120774280.gif
 
Mchezaji mmoja anivunjie kimguu huyo VVD ili hizi kuku zenye kideri zijue kwamba haya makombe ya mbuzi siyo ya kuweka full mziki.
 
Tukisha funga huwa tunatabia moja ya kuridhika na hii inatucost mfano hapoAllison kafanya makosa ingekua kapasiwa KDB angenyooka moja kwa moja na ingekua 1:2
 
Kama humu kuna Arsenal basi watakuwa wanga wakati nyumba yao inaangamizwa na Soton
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom