Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Ule moto tuliowawashia unasema niliomba draw ?

Wewe umeshaenda anfield mara ngapi ,post picha hapa ukiwa anfield vinginevyo wewe ni mamruki tu unatafuta sifa ....

Narudia Tena post picha ukiwa anfield...!!!!!!!!!!!!!!!😕😕😕😕
Picha ndio ilienda anfield au ni mimi acha dhambi zako wewe
Ule moto tuliowawashia unasema niliomba draw ?

Wewe umeshaenda anfield mara ngapi ,post picha hapa ukiwa anfield vinginevyo wewe ni mamruki tu unatafuta sifa ....

Narudia Tena post picha ukiwa anfield...!!!!!!!!!!!!!!!😕😕😕😕
Nitafute sifa kwa nani afu picha ndio ilienda anfield ama ni mimi ndiye nlienda anfield? Haya bhana
 
Hili la kutopata ushindi nyumbani kwa Klopp ni kama vile ni "dead rubber " maana anakua kashapata ushindi ugenini hivyo Anfield anakua anamaliza tu ratiba kuvuka hatua ya inayofuata.

Gemu ya Benfica ilikua kile kikosi hata hakijawai cheza pamoja ki ukweli sikutegemea hata tutoke sare nao maana unavyoweka pedestrian MFs ya Keita, Milner na Henderson lazima maumivu yawepo na ukitazama vyema magoli yote ilikua MF hawako in position ya kuzuia zile kaunta.. Kimsingi hata Benfica wenyewe hawakuamini kukutana na kile kikosi aisee.

Mkuu ukiwa na CMF butu kama ya Liverpool minus Thiago unategemea basi LB na RB wawe watengenezaji wa nafasi kwa ma straika wako ndio maana hat ile gemu dogo Tsimikas katoka na assist nadhani 2. Mpaka pale Klopp atapata ACMF ndio tutapata jawabu la haya mambo ya high line otherwise namsapoti mpaka sasa. Kingine pia Bremer wa Torino lazima atue pale nyuma panahitaji a real bull tuko softi sanaaa aisee. Baada ya kumpata Fabio ngoja tuone kama ni 4 3 3 attacking ama ni 4 3 2 1 msimu ujao...

Kuanzia robo fainali nani anavuka mpaka kufika fainali inategemea pia na bahati maana kama El Cholo wakicheza mpira sana yaaani kwa mara ya kwanza nimeona Pep akibadilika kabisa kutoka na ule ubishi wake na kukumbali kuweka maslahi ya timu. Ingekua na Pep wa zamani ile gemu walikua wamefungwo kabisa lakini sasa aidha ameamua kuja kivingine akianza Jumapili ile vs Liverpool Kimsingi alituvuruga na kucheza mchezo wetu yaaani ilituvuruga sanaa maana kwa kawaida Pep hua ni muumini wa kumiliki kila eneo la uwanja lakini kwa sasa anachofanya ni amiliki pale kati na mipango yote ya mpinzani inakufa. Sasa kwa uchezaji huo nayo bahati na kipa kujituma lazima muda wote. Utabiri wangu naona Liverpool vs Manchester City tutakutana pale Paris kufunga mjadala nani kidume msimu huu.

YNWA
Mimi binafsi napenda tukutane na Madrid maana city tunakutana nao FA tukimfunga huko ucl hatokubali tumfunge ni nani atakubali kufungwa mara zote?

Hili la Kucheza kwa kumaliza ratiba itatutoa kwenye mipango UCL tutaanza home afu tuende kule kwako tunatakiwa tumalize game home
 
Mimi binafsi napenda tukutane na Madrid maana city tunakutana nao FA tukimfunga huko ucl hatokubali tumfunge ni nani atakubali kufungwa mara zote?

Hili la Kucheza kwa kumaliza ratiba itatutoa kwenye mipango UCL tutaanza home afu tuende kule kwako tunatakiwa tumalize game home
Mpango ni ule ule kila mmoja ashinde mechi zake hakuna kingine.

Kwanza tuwabamize Manchester City kesho na Manchester United Jumanne hii itatupa morale kubwa mno kusonga mbele.

Kama kawaida tuchukulie kila gemu moja moja na leo tupo Wembley.

Fainali tukifanikiwa kuputa hakika awe Real ama Citizen hakuna namna tutapambana ushindi tu. Nina imani na vijana hawana papara wametulia vyema sana hawana presha mpaka sasa.

Japo kwa mbali Jumapili ile gemu pale Ethad tulianza kwa kusuasua lakini nina imani Klopp ataliweka sawa.

Upana wa kikosi na uzima wa wachezaji ndio kete yetu kuu kupata ushindi.


YNWA
 
Mpango wa Klopp ni kwamba we win the second balls muda wote yaaani pale tunanyang'anywa mpira basi fasta tu regain possession chap sasa unakuta muda mwingi hilo limeshidikana na kama mechi ya Benfica uliona pia Jota alipoteza mipira mingi bila kufanya recover hivyo hii high line inaumizwa na wachezaji wetu kutofuata maelekezo ya mwalimu vyema. Ukitaka kuona Klopp anavyotaka pale mbele wacheze mtazame Mane na Firmino pale wanapochukuliwa mpira yaaani chap wataanza kuusaka mpaka waupate especially Firmino hilo hua anafanya vyema sana.

Kingine ujue pia timu pinzani sasa wanafanya mazoezi ku by pass pale kati ili mipira ifike mbele so Benfica walifanikisha hilo kwa kuwatoa muda mwingi Keita kwenye nafasi yake na wao kupiga kaunta chap. Lazima tuelewa pamoja kwamba hii high line inawapa advantage Trent na Robbo kutengeza nafasi za kufunga lakini umakini pale nyuma ukipungua basi tunapigwa.

Kwa mfumo wa attacking 4 3 3 hua tukishambulia inakua hivi 2 1 2 5 ambapo pale nyuma anakua anabaki VVD na Matip mbele yao anasimama Fabinho na mbele yake anakua Thiago na Henderson pale front sasa inakua ni Robbo, Mane, Jota, Salah na Trent ina maana hapo 1 mistake tukapoteza mpira na ukapigwa kaunta ukampita Fabinho basi maumivu lazima tuyaone na hapo ndio umuhimu wa sweeper keeper unapoonekana maana mara nyingi anatuokoa Alison ama Matip na VVD wacheze offside trick kama we are lucky basi tunapona.

Kingine mechi ya 3 sasa Fabinho kama ameishiwa upepo hivyo ufahamu bila kazi ya Fabinho DM kua na siku njema basi tegemea kuona mashambulizi yakifika kwetu muda mwingi na tena ya hatari sana.

Klopp ana dirisha la usajili kuja na jawabu ya hili janga maana kwa high line ya mita 40+ kutoka kwa Alisson ujue ni hatari na nusu.

YNWA
huu mfumo unakua mzuri ukiwa na kiungo holder wa mipira kama Bernado Silva, sio mtu wa kutetemeka tetemeka, ila hata Jones sio mmbaya sana kwa huu mfumo. Bayern ndio kinachowakumba wanaucheza huo mfumo ila watu hawana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom