Wakitoka hapo wasubiri udhalilishaji kutoka kwa the blues.Mechi iishe tu na Liver mpewe ushindi ili kuficha heshima ya Kipara
Natamani FA wangesoma hii comment yako lakini sasa no way acha Nyumbu wa mjini asulubiwe ndo pasaka itanogaMechi iishe tu na Liver mpewe ushindi ili kuficha heshima ya Kipara


Wametoka na somo hilo kutoka kwa El Cholo.Man city mmekuwa Atletico Madrid? Maana mnacheza lafu.
Tulikupiga 11 usiongee kituWakitoka hapo wasubiri udhalilishaji kutoka kwa the blues.
Uzuri Osthaadh Ngolo Kante atakuwa ameshamaliza funga.
Mbona watatujua?
january tumecheza bila salah, mane na keitaKDB huwa anainfluence timu
Hao uliowataja ni wafuasi tu sio wachezaji
Magoal mlifunga dakika ya ngapi na ngapi?Tulikupiga 11 usiongee kitu
siku ukiamka vizuri kila unachofanya kinageuka dhahabu, ndicho kinamtokea Mane leo3rd goal. Mane...View attachment 2189812
Liverpool kwetu changamoto hua ni beki CB chaguo la kwanza na pili wakiwa hawapo tunateseka sana.january tumecheza bila salah, mane na keita