Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ameen😀😀
Hingereni liverpool kwa kufika nusu fainali, ninyi ni timu Bora.
#CFC💙💙💙
Mhmhmh OllaChuga Oc umedukuliwa ama umekunywa nini leo maana soon hapa hapa utaanza yale matakataka yako..

Pole, Darajani Thomas alichemka kikosi cha kazi kazi hakua makini sana nadhani kwa vile kabla ya sasa hajawai kutolewa na Real Madrid kwenye UCL alidhani atapita kumbe mzee wa Cuban Cigar alikua amejipanga vyema.

Poleni mmeteleza mjipange vyema msimu ujao kwa vile uhakika wa kumaliza big 4 unao.

Jumapili pambana umtoe Crystal Palace nje FA uingie fainali ukiwa na bahati unaweza ukalipata maana faino aidha Manchester City ama Liverpool mmoja yumo na unafahamu vyema sio wepesi.

YNWA
 
Mhmhmh OllaChuga Oc umedukuliwa ama umekunywa nini leo maana soon hapa hapa utaanza yale matakataka yako..

Pole, Darajani Thomas alichemka kikosi cha kazi kazi hakua makini sana nadhani kwa vile kabla ya sasa hajawai kutolewa na Real Madrid kwenye UCL alidhani atapita kumbe mzee wa Cuban Cigar alikua amejipanga vyema.

Poleni mmeteleza mjipange vyema msimu ujao kwa vile uhakika wa kumaliza big 4 unao.

Jumapili pambana umtoe Crystal Palace nje FA uingie fainali ukiwa na bahati unaweza ukalipata maana faino aidha Manchester City ama Liverpool mmoja yumo na unafahamu vyema sio wepesi.

YNWA
Maombi yetu tuliyomuweka mikononi mwa Mungu yamefanya kazi🤣🤣🤣🤣
 
Ewaaaa huo ndo uchugastan sasa
Hata nyie ni timu bora Ila hamkua makini tu...
Sasa hatutakuangusha tutampiga city tubebe FA na fainali akija tena tutamtwanga ila naitamani zaidi Real ili nilipe kisasi...
Wapo wanamtukana Mendy matusi😂😂😂😂😂😂😂

Ila mpira walicheza Sana.. Mendy aliwazingua.
 
Adjustments.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom