Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Definitely true.City akishindwa kushinda hii match ni ujinga wake.
YNWA
Definitely true.City akishindwa kushinda hii match ni ujinga wake.
excuseHii game sina imani nayo![]()
Dogo ni mbovu sana katika kuzuia mashambulizi.Kila siku huo ni uchochoro, moments kama hizi ndio mnajua?
Ypaani sijui hata wanacheza nini humo ndaniHii game inahitaji baller na Diaz ni baller mzuri tu.
Klopp kwa sasa will be furious kwa wachezaji wake alichokiona kipindi cha kwanza. Yaaani kama namuona.
Manchester City wametumia makosa yetu kutuumiza.
YNWA




Bhana ngoja Klopp ateme cheche na afanye sub mapema mbona hii gemu tukitulia ushindi upo.Ypaani sijui hata wanacheza nini humo ndani
Limatip linatingisha tu shingo believe hazikabi.
Nimezima zangu simu nisimalize bando bure










Kama nyie mlivyo pakatwa na Real madrid Tena mkiwa nyumbani? Haya huyu huyu city aliwapakata nje ndaniMunapigaga kelele sana na hiki kitimu chenu cha mchongo haya leo mnapakatwa huko.










Kwa jinsi tunavyocheza;asiposhinda ni ujinga wakeCity akishindwa kushinda hii match ni ujinga wake.
Takumi au Origi hawapo hata kikosini.Hata Mane kapoa sana, watupie Diazi ikiwezekana hata Minamino
Leo mnapakatwa subiri uone.Kama nyie mlivyo pakatwa na Real madrid Tena mkiwa nyumbani? Haya huyu huyu city aliwapakata nje ndani![]()