Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

I dont mean to sound victim but kwa Arsenal hiyo huwa ni offside.
 
Tushaanza kupigwa dakika ya 5

Ile ya 5 Allison amepangua..asalalee Mara mpira huu hapa tena.


Nilikataa mimi kuangalia hii game
Hahaha bhana bado dakika 45+.

Hapa atoke Mane aingie Diaz awakimbize kwanza maana mpaka hapa kipindi cha kwanza hakika Manchester City were the better side.

Kingine pale nyuma wamelegea sana sijui wamekutwa na nini leo hawa ma beki wetu yaaani makosa mengiiiiiiiii sana.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom