City wakizubaa wanatolewahuo ukuta
![]()
Mimi nasema hivi nyie Liverpool msipobebwa jumapili tunapiga goli zaidi ya nne (4) sijaona uimara wenu wa kutuzuia ....labda mpewe penalty za michongo tu ....!
Wewe jamaa ni fala na hujui Wala huangalii mpira ....hivi atletico ni timu ya kusema inaweza kupindua matokeo,timu ambayo hata touch kwenye box la mpinzani ni zeroCity wakizubaa wanatolewa







Yeah ukiniambia nichague kati ya EPL na UCL hakika nachagua EPL any day of the week.Citizen tusimpe hata draw, tuchukue zote 3 ili aongeze panik. Nawaza EPL kuliko makombe mengine.
Ushaanza kupaniki kama Kipara kwa nini tubebwe sie wala hatutaki ushindi wa mchongo...Mimi nasema hivi nyie Liverpool msipobebwa jumapili tunapiga goli zaidi ya nne (4) sijaona uimara wenu wa kutuzuia ....labda mpewe penalty za michongo tu ....!
Wewe jamaa ni fala na hujui Wala huangalii mpira ....hivi atletico ni timu ya kusema inaweza kupindua matokeo,timu ambayo hata touch kwenye box la mpinzani ni zero
Au Bado unawaza zile come back alizowafinya pale anfield Simeon![]()
Kama wao wapo vizuri kuzuia sisi tutapress mpaka kuwafungua ....na wakija na mentality zile zile za kukaa half yao watu 10 basi tutawapigia possession football mpaka wataachia .....Mkuu kitu ambacho unatakiwa kuelewa kuwa atletico hajashindwa kufanya touch kwenye box lako plan yao nikuja kupata sare tu ili kama mpira wa touch kwenye box lako utauona politano kule ambapo hutakuwa na nguvu kama uliyokuwa nayo etihad hapo.hapo etihad mlijipanga sana mpaka kusema mtacheza na wachezaji 12,
Kule hamtakuwa na hiyo jeuri.na tunajua kukufunga city ukiwa nyumbani ni nguvu kuliko ukiwa ugenini.
Ukiwa ugenini ukifungwa hatuoni ajabu,
Ukiwa ugenini kufungwa ni kawaida tu.ndio maana wenzako wanataka mkacheze mpira spain kule wakati wao wakiwa wanaonesha huwezo wao.hapo hamtakuwa na kiburi,
Atletico wako vizuri kwenye kuzuia wachezaji wanafata maelekezo vizuri.
Yaaani Everton wakishuka daraja nakuhakikishia yule Refa wa ile mechi ahame nchi maana watamsaka popote alipo..Kama nyie mnavyopewaga penati za magumashi ile vs wolves na game ya Everton mlipewa ushindi wa mezani kabisa
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Aisee kumbe tulibebwa kwamba hukuona Jota akipigwa SPEAR matata sana...Labda mbebwe na kupewa penalty hewa kama ya Watford vinginevyo mtajua hamjui![]()
Hakuna sijui ugenini Wala nyumban saizi ..!
Hivi unadhani Atletico ataanza tu game kwa kupaki basi?
Ataianza game kwa kukuwashia moto mpaka apate goli 1 tu then atapaki Basi avizie Kaunta.