Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Aisee haya mambo kumbe yapo hivi.Liver kwa Bayern hamtoki, hapo semi ndo mwisho wenu.![]()
Umetazama kigezo kipi kwamba hatutoki kwa Bayern.
YNWA
Aisee haya mambo kumbe yapo hivi.Liver kwa Bayern hamtoki, hapo semi ndo mwisho wenu.![]()
Wooow hongera Mkuu you truly deserve this.Got a blue badge today! Oh thank you JF.
I'm verified user
Nahisi ni janja fulani tuHuu ni ujanja tu huyu atarudi kwenye epl akiwa fit anataka asiende kuumia kwenye team ya taifaTAA hanaga historia ya kucheza vzuri team ya taifa
Kwa hio bookies sasa watangaze rasmi semifaino ukutane na kipara ambae msimu huu kashakupasua.Tuna imani na Benfica hawatotuangusha.
Sisi gari ishawaka ni kukimbiza tuYaaani hatutaki stori sie tunachojua ni maadalizi mechi inayofuata na sasa ni FA ugenini.
YNWA














YNWAView attachment 2155741
Aiseee kwa hio hapa tumsubiri Bayern Munich semi faino au Mzee Unei ana jambo lake tena kama alivyowafanyia Juventus.
YNWA
Tuna imani na Benfica hawatotuangusha.




Huu ndio msimu sane aliwanyoosha pale etihadi na kupanda juu tukawazid point 1 ,baada ya hapo mlibaki mnakimbiza upepo na city tukanyanyua epl ......
Vip mtaweza kulipiza this time ...keeep watching
Nakumbuka hii game goli la kwanza alifunga aguero kwenye angle ngumu hatari Sana ....Liverpool walibaki wanamlaumu LovrineMna mnyama Aguero
Mna mnyama Sane
Mna mnyama Kompany
Mna mnyama Silva Davido
Kwa sasa mna akina Grealish,utumbo mtupu!
Nakupiga Itihad




Kwani tumeshawapiga mara ngapi?Nakumbuka hii game goli la kwanza alifunga aguero kwenye angle ngumu hatari Sana ....Liverpool walibaki wanamlaumu Lovrine![]()
nakaziaBenfica atapigwa
Bayern atapigwa
UCL final na yyt aje
Leta hapa twakwimu za epl klopp vs pepKwani tumeshawapiga mara ngapi?
You speak as if we have played only one game against city
Ngoma Bado mbichi sana hii





Tupo tayari sana.Sisi gari ishawaka ni kukimbiza tu![]()
Dah huyu Trent kukosekana ni huzuni kwanguTupo tayari sana.
Upepo wa majeruhi upite mbali.
Salah na TAA wana siku 14 kukaa sawa. Idara ya matibabu ifanye kazi yake vyema hawa ma dogo wawe wamepona.
Bila TAA naona pale atacheza Milner japo nae kwa sasa mgonjwa au Gomez.
Pale mbele sina shaka nako kwa Salah. Kuna Jota, Origi, Mane, Diaz, Taikumi, Chamberlain, Elliott, Firmino.
YNWA

