Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

2018/2019 ndio tulibeba Epl?

IMG-20220318-WA0015.jpg
 
Ndugu huu ni Utabiri wa Mashabiki wa Man City wanausambaza mitandaoni toka jana ambao wengi wao wamejazana ujinga kuwa kwa Timu za Kiengereza Liverpool ndiyo Timu nyepesi kuchezanayo kuliko Chelsea.
Acha Tupangwe nao ndio tutapima uzito na wepesi
 
Ndugu huu ni Utabiri wa Mashabiki wa Man City wanausambaza mitandaoni toka jana ambao wengi wao wamejazana ujinga kuwa kwa Timu za Kiengereza Liverpool ndiyo Timu nyepesi kuchezanayo kuliko Chelsea.

Hapana mkuu hiyo me nili screenshoot hiyo video hapo chini na wewe unaweza kufanya nivyo tu.sijachukua kwa mashabiki wa man city sema nime fana nanao kwenye hilo. Nimescreenshot nyingine hiyo hapo tutapangiwa benfica
Adjustments.jpg


 
Ndugu huu ni Utabiri wa Mashabiki wa Man City wanausambaza mitandaoni toka jana ambao wengi wao wamejazana ujinga kuwa kwa Timu za Kiengereza Liverpool ndiyo Timu nyepesi kuchezanayo kuliko Chelsea.
Unajua mashabiki wa Man City wanajua Liverpool ni wepesi kutokana na mechi ya Arsenal..
Wanasahau Liverpool anacheza mifumo tofauti kulingana na timu anayocheza nayo.. hasa kipindi cha kwanza Liver alirelax sana.. ila kipindi cha pili dakika 15 za mwanzo alibadilika sana kutafuta goli.. Hizo ni mbinu za mchezo..
Sasa City waje na mawazo ya mchezo wa Arsenal wataona maajabu uwanjani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom