Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,533
- 81,262
Lembris keiya labalaiMdogo wa kiasi gani, wewe kama ni wa 92, 98 utakuwa na miaka sita
Lembris keiya labalaiMdogo wa kiasi gani, wewe kama ni wa 92, 98 utakuwa na miaka sita
Mwaka 2000 Nina miaka 10Mdogo wa kiasi gani, wewe kama ni wa 92, 98 utakuwa na miaka sita

Subiri utaonawee lazima tunyanyue kwapa, afe beki, afe kipa. Hahahahah
Ahaa!...sawa, benfica walikuwa wabishi kipindi icho wana midfielders kama NICHOLAS GAETTANO!..ila kwasasa wanaunga tu.Hiyo ni miaka ya nyuma Mkuu
Watoto wa umri huo huku kwetu TZ wanashabikia timu yeyote, na nawaza tu hata Arsenal na Manitesa united ulikuwa shabiki wao pia. So tuambie ni lini hasa ulitulia na kuwa shabiki wa LiverMwaka 2000 Nina miaka 10
Namuona Gerrard
🤣🤣🤣🤣Aiseee
Kwanza hapa nishachanganya makombe,
Kama Manure angemtoa Atletico basi mngekutana nae.Tobaaaaaah hadi nimepata baridi, sio kwa team hii tunayokutana nayo khaaaaah.
Tangu nimeanza kuangalia mpira nilideclare mimi ni liver.Watoto wa umri huo huku kwetu TZ wanashabikia timu yeyote, na nawaza tu hata Arsenal na Manitesa united ulikuwa shabiki wao pia. So tuambie ni lini hasa ulitulia na kuwa shabiki wa Liver

Hakuna draw tenaKigezo hapo ni kufuzu tuu kisha wanachezesha draw
Kuanzia kwenye hatua ya Quarter Final,Semi Final na Final yenyewe timu inaweza angukia kucheza na timu yoyote YES. Ila katika hatua za mwanzo yani hatua ya makundi na 16 bora sheria ya UEFA inasema haitakiwi zikutane timu zinazotoka ligi moja.
YNWA
Ambapo hujaelewa we uliza tu usione aibu 😂😂Nielekeze basi nkamu
Nakuja kuuliza maswali.
Sawa kabisa mkuu, kuhusu group leaders na na timu from same league nilimemuelezea kwenye post ya nyuma.Ukitoka hatua ya makundi ni kuingia 16 bora na Robo Fainali tu ndiyo Draw inachezeshwa.
Baada ya Robo hakuna tena kuchezeshwa Draw bali kila Stage imeshapangwa kuwa nanai atakutana na nani.
Pia sio kila Timu inaweza kukutana na kucheza na Timu yoyote! Kwenye 16 bora Timu zinazotoka Nchi moja haziwezi kukutana, na Viongozi wa Makundi hawawezi kukutana.
Huwezi jua sasa kama na huyo Bayern atatoka kwa Villarreal mpira unadunda mkuu.Liver kwa Bayern hamtoki, hapo semi ndo mwisho wenu.![]()
Nkamu wegman
Captain Marvelous naomba mnielezee kuhusu hii draw.
Inafanyikaje fanyikaje na wanatumia vigezo vipi.
In the draw for the round of 16, the eight group winners were seeded, and the eight group runners-up were unseeded.
The seeded teams were drawn against the unseeded teams, with the seeded teams hosting the second leg. Teams from the same group or the same association could not be drawn against each other.
In the draws for the quarter-finals and semi-finals, there were no seedings, and teams from the same group or the same association could be drawn against each other.
As the draws for the quarter-finals and semi-finals were held together before the quarter-finals were played, the identity of the quarter-final winners was not known at the time of the semi-final draw.
A draw was also held to determine which semi-final winner was designated as the "home" team for the final (for administrative purposes as it is played at a neutral venue).
Hapa ndipo Simao sambrosa ina malizika dk 90 anaona wahuni wa liverpool wanashangilia akawa anajiuliza hv liverpool ndio wameshinda?Ahaa!...sawa, benfica walikuwa wabishi kipindi icho wana midfielders kama NICHOLAS GAETTANO!..ila kwasasa wanaunga tu.
Tukifikia kuamini kila takwimu… hasa hizi zisizo na consideration yoyote ya context, tutakua Hatuna tofauti na sangomaLast time Liverpool to face Benfica was the season of 2005/2006
First leg
Benfica 1-0 Liverpool
Second leg
Liverpool 0-2 Benfica
Here we go again..welcome the Portuguese at anfield stadium the place of the miracle of European night