Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuanzia kwenye hatua ya Quarter Final,Semi Final na Final yenyewe timu inaweza angukia kucheza na timu yoyote YES. Ila katika hatua za mwanzo yani hatua ya makundi na 16 bora sheria ya UEFA inasema haitakiwi zikutane timu zinazotoka ligi moja.

YNWA
Hapana, ni Quarter final tu timu inaweza kuangukia kucheza na timu yeyote, SF na Final inadepend na matokeo ya QF na Fina inadepend na matokeo ya SF
 
Eeeeh ni lazima apatikane mshindi hamna kutoa draw.
Mfano mzuri game yetu na Inter kwao tulishinda 2 bila wao wakaja Anfield wakatufunga kamoja jumla ikawa 2-1.
Sasa ingetokea walivokuja Anfield nao wangetufunga 2 bila maana yake ingekua 2-2 kwahiyo ingelazimika tuende hadi extra time na mshindi asingepatikana tena tungeenda kupigiana matuta hadi mshindi apatikane
Heee
Yaani wangetufunga 2 bila na bado penalty zingepigwa kwa sababu tu wao tuliwafunga 2 bila???
 
Heee
Yaani wangetufunga 2 bila na bado penalty zingepigwa kwa sababu tu wao tuliwafunga 2 bila???
Eeeh sababu kimahesabu inakuwa ni droo kwamba sisi tumewafunga 2 kwao na wao wametufunga 2 kwetu (2-2) matokeo hayatakiwi yawe droo.
Hivyo kunakua na extra time ili apatikane mshindi, asipopatikana mshindi within hizo extra minutes basi ndio wanapigiana matuta hadi mshindi apatikane.
 
Last time Liverpool to face Benfica was the season of 2005/2006

First leg
Benfica 1-0 Liverpool

Second leg
Liverpool 0-2 Benfica

Here we go again..welcome the Portuguese at anfield stadium the place of the miracle of European night
Mkuu acha kuudanganya umma kwa kujionyesha kuwa BENFICA NI TOUGH OPPONENT KWAKO....ukweli ulio wazi na kila mtu ameona kuwa LIVER mumepata EasyOpponet/ wabongo tunasema "mchekea", SASA UNATAKA KUTUAMINISHA BEKI OTAMENDI AKAMDHIBITI SALAH KWELI?..
.SERIOUSLY???
 
Nkamu Saint Anne
Ili uelewe kwa mtiririko mzuri, baada ya sisi kushinda hatua ya makundi ilichezeshwa droo ya timu 16 zilizotoka kwenye makundi hawa ni wale wilioshika nafasi ya 1 na 2 kwenye makundi. Hiyo ndio huwa droo ya 16 bora na sisi ndio tulipangiwa Inter Milan.
images


Katika hatua ya 16 bora wakishapatikana washindi inachezeshwa droo ya mwisho ambayo inaonyesha quarter final, semi final na final yenyewe, hiyo droo ndio hii iliyochezeshwa leo sasa.
adjustments-jpg.2155302

Sisi ni quarter final 4 (QF4) tumepangiwa Benfica kwa maana hiyo tukishinda hatua hiyo semi final tutakuna na winner wa quarter final 3 (QF3) ambapo ni kati ya Villarreal au Bayern. Kwahiyo mtiririko unaenda hivyo hadi fainali.
Kama kuna sehemu sijagusia wadau wengine wataongezea.

YNWA
Tobaaaaaah hadi nimepata baridi, sio kwa team hii tunayokutana nayo khaaaaah.
 
Eeeh sababu kimahesabu inakuwa ni droo kwamba sisi tumewafunga 2 kwao na wao wametufunga 2 kwetu (2-2) matokeo hayatakiwi yawe droo.
Hivyo kunakua na extra time ili apatikane mshindi, asipopatikana mshindi within hizo extra minutes basi ndio wanapigiana matuta hadi mshindi apatikane.
Aiseee
Kwanza hapa nishachanganya makombe,
 
game yetu na man city tumebahatika sana, yani watacheza na atletico home, kisha ligi na sisi then away kwa atletico!

very tactical, kipara lazima achanganyikiwe! diego hana matani
Na bado man city tutashinda zote. Chezea para wee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom