Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hiyo draw inachezeshwa kama mchezo wa bahati nasibu??
Kwamba timu inaweza angukia kucheza na timu yoyote?
Ndio anne wanachezesha kama bahati nasibu, wanachukua vimpira vidogo ambavyo vinakua na majina ya timu wanaviweka kwenye kibakuli kimoja kisha wanazungusha alafu mtu anaingiza mkono anatoa kimpira na kusoma jina la timu
 
Ndio anne wanachezesha kama bahati nasibu, wanachukua vimpira vidogo ambavyo vinakua na majina ya timu wanaviweka kwenye kibakuli kimoja kisha wanazungusha alafu mtu anaingiza mkono anatoa kimpira na kusoma jina la timu
Aisee
Awesome

Asante mkuu,nilikuwa sijui ..Mpira bado siujui.
Naona tu watu wanaongelea draw draw..nikawa najiuliza maswali.
 
Last time Liverpool to face Benfica was the season of 2005/2006

First leg
Benfica 1-0 Liverpool

Second leg
Liverpool 0-2 Benfica

Here we go again..welcome the Portuguese at anfield stadium the place of the miracle of European night
Sasa hivi timu yetu siyo ile ya miaka ya elfu mbili.
Tutawatandika watashangaa.
 
Adjustments.jpg
 
Nkamu wegman
Captain Marvelous naomba mnielezee kuhusu hii draw.
Inafanyikaje fanyikaje na wanatumia vigezo vipi.
Nkamu Saint Anne
Ili uelewe kwa mtiririko mzuri, baada ya sisi kushinda hatua ya makundi ilichezeshwa droo ya timu 16 zilizotoka kwenye makundi hawa ni wale wilioshika nafasi ya 1 na 2 kwenye makundi. Hiyo ndio huwa droo ya 16 bora na sisi ndio tulipangiwa Inter Milan. 👇🏽
images


Katika hatua ya 16 bora wakishapatikana washindi inachezeshwa droo ya mwisho ambayo inaonyesha quarter final, semi final na final yenyewe, hiyo droo ndio hii iliyochezeshwa leo sasa.
adjustments-jpg.2155302

Sisi ni quarter final 4 (QF4) tumepangiwa Benfica kwa maana hiyo tukishinda hatua hiyo semi final tutakuna na winner wa quarter final 3 (QF3) ambapo ni kati ya Villarreal au Bayern. Kwahiyo mtiririko unaenda hivyo hadi fainali.
Kama kuna sehemu sijagusia wadau wengine wataongezea.

YNWA
 
Nkamu Saint Anne
Ili uelewe kwa mtiririko mzuri, baada ya sisi kushinda hatua ya makundi ilichezeshwa droo ya timu 16 zilizotoka kwenye makundi hawa ni wale wilioshika nafasi ya 1 na 2 kwenye makundi. Hiyo ndio huwa droo ya 16 bora na sisi ndio tulipangiwa Inter Milan.
images


Katika hatua ya 16 bora wakishapatikana washindi inachezeshwa droo ya mwisho ambayo inaonyesha quarter final, semi final na final yenyewe, hiyo droo ndio hii iliyochezeshwa leo sasa.
adjustments-jpg.2155302

Sisi ni quarter final 4 (QF4) tumepangiwa Benfica kwa maana hiyo tukishinda hatua hiyo semi final tutakuna na winner wa quarter final 3 (QF3) ambapo ni kati ya Villarreal au Bayern. Kwahiyo mtiririko unaenda hivyo hadi fainali.
Kama kuna sehemu sijagusia wadau wengine wataongezea.

YNWA
Oh hapa nimeelewa.

Kwahiyo hizo mechi ni lazima apatikane mshindi??
Yaani hakuna kutoka draw??
 
Hiyo draw inachezeshwa kama mchezo wa bahati nasibu??
Kwamba timu inaweza angukia kucheza na timu yoyote?
Kuanzia kwenye hatua ya Quarter Final,Semi Final na Final yenyewe timu inaweza angukia kucheza na timu yoyote YES. Ila katika hatua za mwanzo yani hatua ya makundi na 16 bora sheria ya UEFA inasema haitakiwi zikutane timu zinazotoka ligi moja.

YNWA
 
Oh hapa nimeelewa.

Kwahiyo hizo mechi ni lazima apatikane mshindi??
Yaani hakuna kutoka draw??
Eeeeh ni lazima apatikane mshindi hamna kutoa draw.
Mfano mzuri game yetu na Inter kwao tulishinda 2 bila wao wakaja Anfield wakatufunga kamoja jumla ikawa 2-1.
Sasa ingetokea walivokuja Anfield nao wangetufunga 2 bila maana yake ingekua 2-2 kwahiyo ingelazimika tuende hadi extra time na mshindi asingepatikana tena tungeenda kupigiana matuta hadi mshindi apatikane 😊😊
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom