Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Huyu boya alianza kucheza mateke uwanjani kama tripple H wa mieleka.
Kufungwa kubaya
.Akubali tu wakati wake umeisha..huu ni ulimwengu wa akina Salah.
Huyu boya alianza kucheza mateke uwanjani kama tripple H wa mieleka.
.Bwana wee huyu mwarabu yupo kikazi zaidi hana mambo mengi.Ni mtu na kipande.
I like the way he is committed .
Hivi huwa najiuliza huko man u kuna hela za kuchezea eeh?Wanakula mishahara ya ajabu na msimu huu rasmi wanatoka kapa.
YNWA
🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃Hivi Tripple H yuko wapi khaaaa umenikumbusha mbali.Huyu boya alianza kucheza mateke uwanjani kama tripple H wa mieleka.
Kufungwa kubaya.
Akubali tu wakati wake umeisha..huu ni ulimwengu wa akina Salah.
Ni matajiri haswa zimo sana tu aisee.Hivi huwa najiuliza huko man u kuna hela za kuchezea eeh?
Nilitamani huyu boya angetandikwa teke kama lile anarushaga Ray Mysterio akili imkae sawa.Hivi Tripple H yuko wapi khaaaa umenikumbusha mbali.
Miaka hioooo Tripple vs Dead Man the Under Taker.
YNWA
Inabidi sasa timu ianze upya kabisaNi matajiri haswa zimo sana tu aisee.
Kosa lao moja tu. Badala wanunue nguo mpya wanaongezea vilaka nguo iliyochanika mpaka basi.
Waanze from the scratch sio hizo za sasa.
Uzuri wameshajua kwamba wanahitaji kujenga upya kikosi ndio maana wamempa profesa Rangnick kazi ya consultant ya miaka miwili Kuanzia Juni 2022 awepe muongozo kwneye usajili.
YNWA
Kazi yake inaonekanaBwana wee huyu mwarabu yupo kikazi zaidi hana mambo mengi.
YNWA
Bobby kuna kipindi aliflop sana. Haswa msimu uliopita. Hilo lipo wazi. Ali struggle sana. Sikumbuki hata kama alifikisha magoli 10.Sadly ndio iko hivyo. Ukweli kwa sasa hakuna anaeona umuhimu wa Firmino ila ile role yake ya false 9 ndio imetufikisha hapa tulipo na ndio imemfanya Salah akawa Salah na Mane akawa Mane
Huyu ndie Kinga Ngwaba ninaemjua sasa.
On spot.
YNWA
Ingia google andika hesgoal tafuta mechi unayotaka...Wakuu mwenye link ya kucheki game yetu hii?
hesgoal walitoa tangazo kuwa wameacha kuonesha match za ligi ya uingereza kwenye tovuti Yao.Ingia google andika hesgoal tafuta mechi unayotaka...
Mkuu nimeandika hivyo imenipeleka kwenye site hiyo hakuna hiyo gameIngia google andika hesgoal tafuta mechi unayotaka...
Itafute mzee mechi IPO mbonaMkuu nimeandika hivyo imenipeleka kwenye site hiyo hakuna hiyo game