Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyu boya alianza kucheza mateke uwanjani kama tripple H wa mieleka.
Kufungwa kubaya.


Akubali tu wakati wake umeisha..huu ni ulimwengu wa akina Salah.
🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃Hivi Tripple H yuko wapi khaaaa umenikumbusha mbali.

Miaka hioooo Tripple vs Dead Man the Under Taker.

YNWA
 
Hivi huwa najiuliza huko man u kuna hela za kuchezea eeh?
Ni matajiri haswa zimo sana tu aisee.

Kosa lao moja tu. Badala wanunue nguo mpya wanaongezea vilaka nguo iliyochanika mpaka basi.

Waanze from the scratch sio hizo za sasa.

Uzuri wameshajua kwamba wanahitaji kujenga upya kikosi ndio maana wamempa profesa Rangnick kazi ya consultant ya miaka miwili Kuanzia Juni 2022 awepe muongozo kwneye usajili.

YNWA
 
Ni matajiri haswa zimo sana tu aisee.

Kosa lao moja tu. Badala wanunue nguo mpya wanaongezea vilaka nguo iliyochanika mpaka basi.

Waanze from the scratch sio hizo za sasa.

Uzuri wameshajua kwamba wanahitaji kujenga upya kikosi ndio maana wamempa profesa Rangnick kazi ya consultant ya miaka miwili Kuanzia Juni 2022 awepe muongozo kwneye usajili.

YNWA
Inabidi sasa timu ianze upya kabisa
Labda wataepukana na hii mikosi.
 
Sadly ndio iko hivyo. Ukweli kwa sasa hakuna anaeona umuhimu wa Firmino ila ile role yake ya false 9 ndio imetufikisha hapa tulipo na ndio imemfanya Salah akawa Salah na Mane akawa Mane
Bobby kuna kipindi aliflop sana. Haswa msimu uliopita. Hilo lipo wazi. Ali struggle sana. Sikumbuki hata kama alifikisha magoli 10.
Ila bado anahaki kubwa mchezaji muhimu kikosini. Kama itatokea injury kwa mmoja wao wachezaji anaweza kuziba pengo.
 
Adjustments.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom