nyangelekene
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 498
- 382
Ilikua boys vs men...
Peaky Blinders hahaha.

Kudadeq Kuna wanga walisema hatushindi

Hahahaha we mean business.Kudadeq Kuna wanga walisema hatushindi![]()
Kuna maboya ngoja niwaamsheHahahaha we mean business.
Bring em.
We ready to tango.
Who is next
YNWA
Tukumbushane tu ni kwamba kuna kipindi Manchester City alituacha pointi 14 na sasa ni pointi 1 moja na tupo gemu sawa.
Kuna mtu mwenye swali jamani? Kuhusu hii gemu ya Liverpool vs Arsenal.
Ushindi ugenini 2 na clean sheet murwa kabisa.
Arsenal kabla ya hii gemu walikua wameshinda gemu 5 mfululizo hivyo sio kwamba n dhaifu mbali hawajawa finished article. Mikel anafanya kazi powa kabisa.
YNWA
Ha ha ha ha ha!!!Peaky Blinders hahaha.
The Red Brigade.
Boy we are enjoying this.
YNWA