Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huo urahisi au ugumu baki nao wewe,sisi tunataka point 3 tu .

Mechi ya kwanza ulifungwa nne na Liverpool mechi ya pili uje umfunge kweli? Liverpool kuanzia mwaka 2022 ndio timu bora hapo epl yaani ndio nimekusanya point nyingi kushinda timu yote hapo Epl kwa kifupi Liverpool gari limeshawaka Saizi.

Mechi ijayo mtakutana na Liverpool iliyokuwa na wachezaji wote hakuna majeruhi hata mmoja,ubavu wa kumvimbia Liverpool huna kwa sasa ilikuwaga zamani.

Sasa hivi Liverpool anakufunga anavyotaka huna timu wewe.pigeni kelele tu utakubali hunatimu ya kushindana Liverpool .

Last time mlisema mtakuja kutufunga nyumbani kwenu,kilichotokea mkaona aibu.liverpool hii iko moto mkuu mpaka sasa imefunga magoli 73,wewe umefunga magoli mangapi kwenye ligi?

Liverpool mashindano yote mpaka sasa kafungwa mechi tatu na westham,leicester Na inter milan, wewe mpaka sasa mashindano yote umefungwa mechi ngapi? Auna timu ya kupiga kelele kwamba utamfunga Liverpool.

Hao westham na leicester tayari tumeshalipa kisasi yaani tumeshawakalisha na wao walikuwa wagumu na kelele nyingi.

Ukiona Liverpool kafungwa ujue kuna wachezaji hawapo sasa nyinyi Arsenal mnaenda kukutana na Liverpool iliyona wachezaji wake wote yaani Klopp anajichagulia tu acheze nani.

Mpaka saizi kwenye round ya pili hakuna aliyechukua point kwa Liverpool nyinyi Arsenal ndio mnataka mjaribu?
Sasa nani kakuambia kama kwa kuwa mmekusanya points nyingi, hamjafungwa tangu 2022, mmeshinda magoli 73 na kama hamna majeruhi ndio iwe sababu ya KUTOFUNGWA?

Unless you're not a football fan.

Nikuambie basi mpira hauko hivyo. Mark my words.
 
Pale Liverpool hua wanakua na target wachezaji wengi ila kila mchezaji anaefuatiliwa kunakua pia kuna wachezaji wengine nafasi hio hio wanafuatiliwa yaaani 1st, 2nd, 3rd priority nk. Kwamba kama target ni mchezaji 1st akakosekana basi wanakwenda kwa 2nd ama 3rd priority na hii imesaidia sana Klopp tangu ametua. Tetesi ni kwamba hata Salah hakua 1st priority mbali alikua 2nd lakini tazama tangu atue alivyokiwasha.

Ni vimbaya sana kumletea wachezaji kocha na kumwambia fanya nao kazi kwani kila kocha ana mfumo wake.

Profiling ya mchezaji ni ngumu sana lakini kukiwa na hio department klabuni inasaidia na hapo Chelsea mnayo tangu 2008 in fact mlikua wa kwanza ama wa pili ku allocate resources za kutosha hayo mambo kwa kina EPL. Sijui nini kimewakuta sasa.

Kwa sasa kumbakisha Thomas itakua kama usajili mpya kwenu. Namwelewa mzee baba wa kapero.

YNWA
Marina sio mzuri kwenye scoutin, nimzuri kwenye negotiation, ila linapokuja swala la scouting yuko poor.
 
Amejitahidi sana ,ndio kwanza kacheza Mechi 5 tu lakini anaoneka kufata maelekezo vizuri sana.

Ni Bobby kabisa maana sio kwa mikimbio ile sijaangalia distance covered ila atakuwa anayo nyingi sana.
Sijatazama stat zake ile gemu lakini pass accuracy na pass completion alikua vizuri sana pia Klopp way false 9 ni ku link team play up front na link with MFs na dynamic RB na LB.

Bobby Firmino is the best false 9 in the world lakini Mane must have been taking notes nadhani pia sababu ya ushindani wa namba wa ma dogo wanajituma sana uwanjani maana wanajua sasa benchi limependeza na Klopp anachotaka ni pointi 3 kila gemu period.

Hivi bila kuja Diaz hata tungejua kama Mane yupo this flexible ki ufupi pale Liverpool sasa Diaz is really impacting the players in very unique way.

YNWA
 
Brighton boss Graham Potter:⁣

“How good is Diaz? It’s not rocket science is it, you can see that from the money they paid and where they bought him from. They still had two quality forwards on the bench. He did really well and it moves Mane central where he becomes a problem. ⁣

“I said to the boys you’re playing against one of the best teams in the world. There is the Premier League and then there’s another level and that’s where Liverpool are. They deserved to win. I have huge respect for Jurgen.” #LFC [bbc]
Klopp is a huge admiral wa Graham Porter such a gentleman.

Klopp said in his free time he like watching Brighton games.

Ni kipofu tu atakua hajaona impact ya Diaz hapa Liverpool.

We are lucky we stole the deal from Tottenham kama vile Chelsea walisepa na Salah from Liverpool enzi za Rodgers au Willian again from Spurs au Dortmund walivyosepa na Markriatan from Liverpool again enzi za Rodgers. This time Klopp hakubahatisha.

YNWA
 
Sasa hivi wanaona aibu wako kimya.
Buying British players na utegemee makombe especially EPL iliisha na the so called class of 92 yaaani kwa sasa inabidi upige mixaArgentina, Brazil, Europe, Africa, Asia nk.

Tetesi ni kwamba hata baadhi ya wachezaji wenzie hawamkumbali.

Watajiju yaaani wale EPL watakua wanaona ribbon za Ethad, Anfield zikitawala mpaka waache kuziba vilaka waanze kusaka upya kikosi.

YNWA
 
Screenshot_20220314_153353_com.android.chrome_edit_8394508638301.jpg


Tetesi ni kwamba mkataba mpya upo unajadaliwa ili azidi kukipga Anfield.

YNWA
 
Screenshot_20220314_153326_com.android.chrome_edit_8383230752365.jpg


Hakika bidii, kujituma ni jawabu ya changamoto.

Dogo akiwa mdogo alikua ni bonge kwa kukosa mlo na diet kamilifu hivyo alichekwa sana lakini hio hakuzuia atimiza ndoto yake ya kuboresha maisha ya familia yake waliokua wanaishi katika umaskini wa ajabu. Alifuata maelekezo ya walimu na ukitazama vyema hakuonekana hata kujiunga na academy yoyote akiwa na umri mdogo kwa sababu Mkoa alikozaliwa Colombia ni maskini hauna amsha amsha ni mkoa wenye maedeleo duni sana. Kwa sasa tetesi ni kwamba baadhi ya ma scouts wametuma mawakala kutazama vyema kama kuna Diaz mwingine huko wamwibue wapige ela.

Alianza kucheza mpira wa kueleweka nadhani akiwa na miaka 18 au 17 na tangu hapo hakurudi nyuma tena ni kijituma sana.

YNWA
 
Hahaha huyu ataodoka bure.

Wasiwasi wangu ni je aodoke Salah, Mane, Firmino na baada ya msimu mmoja anaodoka Klopp 2024,hii sasa sio sawa kabisa.

Nwei ngoja tuone mipango ya klabu kwa hizi dirisha zilizobaki mpaka 2023 ambazo ni Juni 2022 na January 2023 wamejipanga aje.

YNWA
Waache ujinga
Salah akiondoka nitawalaani sana.
 
Waache ujinga
Salah akiondoka nitawalaani sana.
Hahahaha ingekua Salah ni Mzungu Muingereza yaaani hawa ma pundits huko UK wangeanzisha mijadala kwa nini namba za Salah zinatosha alipwe hizo pesa anazotaka na kadhalika.

Hakuna shabiki wa Liverpool anaesema Salah aodoke tumemchoka mbali hawa hawa pundits sijui wamepewa mpunga na FSG wa spin mambo kwa niamba yao ama ni chuki binafsi kama walivyowaaminisha key board fans msimu uliopita kuhusu Gini.
Haya mambo hua nyuma ya pazia kuna ishu nyingi sana zinaedelea na unavyofanya dili na hawa mabepari ndio kabisa watalaam wa ku lobby fans kutumia njia tofauti wawe upande wao. Muda utasema.

Pagumu sasa Salah amesema hata akiondoka Liverpool anatamani abakie England 😂😂🙆🏿🙆🏿🙆🏿kwa haraka haraka hapo ujumbe unatumwo kwa Manchester City, Chelsea mpya 🤔, Arsenal au Tottenham. Hili sakata ndio kwanza asubuhi.

Au Manchester United awe kama Owen hahaha from hero to zero 😂😂😂😂😂😂😂😂maana sasa mkataba ukiisha anakua free kujiunga popote yaaani.

YNWA
 
Hahahaha ingekua Salah ni Mzungu Muingereza yaaani hawa ma pundits huko UK wangeanzisha mijadala kwa nini namba za Salah zinatosha alipwe hizo pesa anazotaka na kadhalika.

Hakuna shabiki wa Liverpool anaesema Salah aodoke tumemchoka mbali hawa hawa pundits sijui wamepewa mpunga na FSG wa spin mambo kwa niamba yao ama ni chuki binafsi kama walivyowaaminisha key board fans msimu uliopita kuhusu Gini.
Haya mambo hua nyuma ya pazia kuna ishu nyingi sana zinaedelea na unavyofanya dili na hawa mabepari ndio kabisa watalaam wa ku lobby fans kutumia njia tofauti wawe upande wao. Muda utasema.

Pagumu sasa Salah amesema hata akiondoka Liverpool anatamani abakie England kwa haraka haraka hapo ujumbe unatumwo kwa Manchester City, Chelsea mpya , Arsenal au Tottenham. Hili sakata ndio kwanza asubuhi.

Au Manchester United awe kama Owen hahaha from hero to zero maana sasa mkataba ukiisha anakua free kujiunga popote yaaani.

YNWA
Aende tu Man city na watatunyoosha kweli kweli
Hao wanaoarrange hiyo mikataba ni wajinga sana.
Na wakishindwa kumuongezea mshahara akaondoka basi hii timu itaakiona Cha mtema kuni .
Wajinga hao,vijana wanajituma lakini hawaoni umuhimu wao..huko man u wanashinda kucheza rede mazoezini ila wanalipwa Hela za kutosha..sisi vijana wanataka kuvunja Hadi viuno ila hela za kuwalipa zinawauma sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom