Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Yeah man. We shall push to the end. We are Liverpool we dont give up.Nafikiri issue kubwa hapa ni ile pressure ya ku push on all fronts. FA Cup, CL and PL.
Like it's hard to focus on a single one kwa kuona labda hatuna nàfasi upande mwingine. Hata kocha anakuwa na hard time ku rotate key players hivyo unakuta kuna ambao wanatumika week in week out. Fatigue must set in asee so kuna games lazima wawe under par.
I hope we can still push though. Mdogo mdogo the Liverpool way.
Resilience is key.
We have almost kikosi kizima lakini mechi sasa zimekua nyingi zinachezwa kwa ushindani mkali sana uwanjani kiasi ma dogo muda wa ku recover umekua mchache tazama wiki hii tumecheza na Inter Milan wekedi ijayo tuna Brighton na Jumatano ijayo tuna Arsenal ugenini hivyo mechi zinakuja kwa kasi ya 5G ndugu.
YNWA


