MILL8
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 1,837
- 880
Huyu MTU na nusu
Huyu MTU na nusu
Huna akili, simply, mbona ulikuwa huchukui vikombe na kina Kolo Toure & Sakho?No one is bigger than Liverpool labda kule Arsenal nadhani ndo kuna wachezaji wakubwa kuliko timu
Huna akili, simply, mbona ulikuwa huchukui vikombe na kina Kolo Toure & Sakho?
Mpira hujui, simpleKocha ndo tulikuwa hatuna
Mpira hujui, simple
Dogo anakera sana halafu Kuna wengine humu ni baba zake au Kaka lakini adabu hana kabisaJamaa mpuuzi sana anaanza kuleta matusi shenzi type.
Kama huyo jamaa aliyemtukana ni baba yake, alafu sijui ni litoto hili?Dogo anakera sana halafu Kuna wengine humu ni baba zake au Kaka lakini adabu hana kabisa
Wana better games




Hawa fans wa Liverpool wa humu ni f***kin problem wanajichetua humu eti kisa kina dias na jota kwa hiyo Salah hata akiondoka Haina shida ....ni vinabo level ya stgi stand with Mo Salah, wamarekani waache ubahili walipe watu mishahara wanayostahili maana ukifulia wanaku dump tuu









Pambana na watu WAKO,salah salah salah KILA dakika....HAKUHUSU NA TIMU HAIKUHUSU...Hawa fans wa Liverpool wa humu ni f***kin problem wanajichetua humu eti kisa kina dias na jota kwa hiyo Salah hata akiondoka Haina shida ....ni vinabo level ya stg
Salah kama hakuna mkataba wa kunzia 400k per week leave haijalishi utaflop au laah but utakuwa umetunza heshima yako![]()
Mimi kama Shabiki wa Salah nitasimama na salah wamlipe anacho stahili, pia itaniuma sana akiondoka, wale wanao sema sijui aliondoka Suarez, mara Coutinhoo kiukweli waache kujichetua. Salah katufikisha hapa tulipo sasa na kwamsim huu kwakuwategemea akina Takumi, Firmino isingesaidia aisee ila kijana ni mpambanaji sana.Hawa fans wa Liverpool wa humu ni f***kin problem wanajichetua humu eti kisa kina dias na jota kwa hiyo Salah hata akiondoka Haina shida ....ni vinabo level ya stg
Salah kama hakuna mkataba wa kunzia 400k per week leave haijalishi utaflop au laah but utakuwa umetunza heshima yako![]()
View attachment 2148399
Kama unajua hakika unajua tu.
Kwa taarifa ni kwamba dogo Diaz mpaka sasa kingereza hakielewa hivyo inawapa shinda kiasi wachezaji wenzie /mazoezini uwajani lakini wanachoshangaa ni kwenye mechi dogo ana instinct za ajabu sanaa..
Anajua wapi awe kwa muda gani woow this is pure street football flavour.
YNWA