Kamugy T
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,110
- 1,226
Waliondoka wakina Owen, Torres , Suarez na Coutinho na bado tukawa imara as Klopp said the club has done all it can kama Salah hajaridhika asepe tu no one is bigger than Liverpool YNWA.
Salah ondoka zako ,huwezi fanya kazi kubwa unazidiwa mshahara na Sancho ...waachie timu lao Liverpool ......football it's all about money ukiwazoea kwanza wewe ni mwafirika ukiflop wao Wana kudump hawatakuwa na huruma Sasa kama hawawezi kukulipa saizi na upo on fire achana nao nenda zako psg ,Madrid ,ukale pension
Achana na hii club bahili kama mpare wa milimaniii....
Kwanza ukija hata city tunakupa mshahara 400k per week kama KDB japo huwezi mfikia![]()


