Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wewe ndio msemaji wa salah?

Klopp anapenda wachezaji wake wote na wote wanajua wewe msemaji wa salah kaa kimya
Hujui unachosema, watu tunaongelea man management we unaleta ushabiki maandazi hapa.
 
Jota tokea asajiliwe anateswa sana na inconsistency, anaweza kucheza uzuri Mechi 5 mfululizo lakini akapotea Mechi 5 mfululizo.

Leo nataka nimuangalie performance yake kama amesharudi mchezoni.
 
Klopp akae na Timu awape Msaada wa kiufundi Wachezaji wamekosa utulivu.
Yani mchezaji kama Mane unamkuta anacheza kama aliyekata Tamaa! Sehemu ya kupass anashuti na sehemu ya kushuti anapass.
 
Robbo angelikuwa na accuracy ya kupass au kupiga cross japo nusu tu ya uwezo wa TAA tungekuwa na uhakika wa kutoka na goli3+ kila mchezo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom