Mkuu unautani wewe

. Hapo nani wakumfunga Liverpool hapo?
Man U ndio atufunge eti? Au Arsenal na Spurs hao?
Kuna timu Za kuogopa sio hao na uzuri wake sasa hivi wachezaji wetu wote wamerudi.
Kikosi kiko full hao Spurs walipata sare kwasababu wachezaji wetu walikuwa na Covid 19, kama vvd.
Mkuu tafuta mechi zingine hapo tunachukua point 9 zote na magoli ya kutosha.
Kiukweli hapo kwa timu zilibaki mpaka ligi kuisha hakuna timu ya kutufunga tena wakijitahidi sare na hapo ni mechi na man city tu hiyo tofauti ya hapo hakuna timu ya kumfunga Liverpool kwa sasa
Crystal palace atakusimamisha mechi ijayo,hamna huwezo wakumfunga crystal palace nyie.