Wamesha kolapse hawa wasubiri tu msimu uishe afu champions league wanatolewa
Wamesha kolapse hawa wasubiri tu msimu uishe afu champions league wanatolewa
One voice
We are Liverpool
Foundation my foot.
By the way upande wa merchandise hauja collapse bado wapo vizuri sana.Biashara yao imeisha kwenye soka hao.hawana huwezo tena.
Msimu ujao pia watakuwa hivi hivi. Sasa hivi wamebakiza kelele tu sasa hivi.
Kila kocha akija eti hajui? Timu ndio imekolapse sio kocha.
Foundation my foot.
Nothing is forever.
Bla bla zimewapoza
YNWA

Hahaha waliishi ndotoni muda mrefu sana wakidhani kurudi kileleni kuna short cut sasa mpaka former players wameafiki lazima wajipe muda sio haya yanayoedelea sasa, wameshauriwe wafumue kikosi Juni akina Cavani, Bailey, Mata, Lingard nk wasepe kwa vile mikataba inaisha na wengine wauzwe hata kwa bei chee.Saizi akioneshwa maneno yake hayo anaona aibu.![]()
Nataka nimpe liver 20k ushauri jaman
Wewe mpe tu leo Inter Milan anakuja machijio hawezi kutoka.Nataka nimpe liver 20k ushauri jaman