Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kapambane kusaka mteja msije angukia pua darajani...

Hivi yule bilionea Laizer si umpe dili ainunue hii timu chap maana muda si mrefu mtajikuta mnamilikiwa na Malkia hivi hivi.

YNWA
kwani FSG tangu wameinunua liverpool wameleta makombe mangapi apo anfield?? unadhani sisi tunafanya biashara kiholela ..tangu 2010 mpaka leo hii liverkuku ina makombe mangapi? Roman ni legend ataleta wa aina yake.

#CFC💙💙💙
 
kwani FSG tangu wameinunua liverpool wameleta makombe mangapi apo anfield?? unadhani sisi tunafanya biashara kiholela ..tangu 2010 mpaka leo hii liverkuku ina makombe mangapi? Roman ni legend ataleta wa aina yake.

#CFC💙💙💙
Tulia hivyo hivyo timu ipo sokoni inapigwa mnada haha najua inawauma sana kwani Roman yeye anachojua ni kushinda tu hakuna sijui kujenga kikosi bla bla yeye anataka makombe tu na ela ilikuwepo sasa tetesi mnaangukia kwa Mswisi au Yankees haha ndio utaelewa vyema ile policy ya sell to buy ina maana gani..

YNWA
 
Screenshot_20220305_222635_com.android.chrome_edit_54911821287454.jpg


Konate katika ubora wake.

Hivi ana miaka 21 huyu dogo. Atakua na future nzuri sana.

YNWA
 
Tulia hivyo hivyo timu ipo sokoni inapigwa mnada haha najua inawauma sana kwani Roman yeye anachojua ni kushinda tu hakuna sijui kujenga kikosi bla bla yeye anataka makombe tu na ela ilikuwepo sasa tetesi mnaangukia kwa Mswisi au Yankees haha ndio utaelewa vyema ile policy ya sell to buy ina maana gani..

YNWA
uyo mununuzi lazima afuate utaratibu uliopo ..sisi ni makombe tu

Na msimu huu UEFA inatuhusu tena.

Sisi tunasubiri mbanga yeyote fainal tumle nyama.
 
Timu inarudi ilipotoka,kila kitu kina mwisho.

Wabahatike wapate wale wa visima vya mafuta.

Bila hivyo wanarudi kwenye asili yao tu hiyo ni timu ya kawaida tu,

Man U alivyoondoka Ferguson,walikuahawataki kuamini kama watakuwa timu ya kawaida sasa hivi wanajionea wenyewe.

Hata hao Chelsea hatutaelewana saizi,mpaka baadae.

Huyo ligi alishaizoea huyo atakayekuja anakuja na utaratibu wake Lazima wayumbe kwanza au watayumba mazima kama Man U.
Hizi hate duh

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Timu inarudi ilipotoka,kila kitu kina mwisho.

Wabahatike wapate wale wa visima vya mafuta.

Bila hivyo wanarudi kwenye asili yao tu hiyo ni timu ya kawaida tu,

Man U alivyoondoka Ferguson,walikuahawataki kuamini kama watakuwa timu ya kawaida sasa hivi wanajionea wenyewe.

Hata hao Chelsea hatutaelewana saizi,mpaka baadae.

Huyo ligi alishaizoea huyo atakayekuja anakuja na utaratibu wake Lazima wayumbe kwanza au watayumba mazima kama Man U.
upo apo buza sijui tandale kwa tumbo ..umeishashiba maharage na chapati za mama mshana ..sasa umeweka tu mguu juu unajamba ushuzi matokeo yake ndio unaandika upumbavu kama huu.

#CFC💙💙💙
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom