Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa hiyo hio picha ni ya Liverpool au ni tangazo la kula kimasiara
Jiheshimu basi,,,siyo lazima utukane matusi.
Nilishaitoa kwasababu nilikosea.
Nilikuwa nachat kwenye ule Uzi pia.

Kama umekasirika sana basi pambana na hali yako.
 
Kumbe humu ndani huwa wanakaa hivi
Kuzuri.
JamiiForums-1397499690.jpg
 
Abramovic katangaza kuondoka mazima UK na kila kilicho chake! Hivyo Kuna dalili Mmarekani akaichukua hii Timu.

Mmarekani akichukua Timu dalili ya usajili wa Sell to Buy inanukia hapa.

lembu



Timu inarudi ilipotoka,kila kitu kina mwisho.

Wabahatike wapate wale wa visima vya mafuta.

Bila hivyo wanarudi kwenye asili yao tu hiyo ni timu ya kawaida tu,

Man U alivyoondoka Ferguson,walikuahawataki kuamini kama watakuwa timu ya kawaida sasa hivi wanajionea wenyewe.

Hata hao Chelsea hatutaelewana saizi,mpaka baadae.

Huyo ligi alishaizoea huyo atakayekuja anakuja na utaratibu wake Lazima wayumbe kwanza au watayumba mazima kama Man U.
 
Timu inarudi ilipotoka,kila kitu kina mwisho.

Wabahatike wapate wale wa visima vya mafuta.

Bila hivyo wanarudi kwenye asili yao tu hiyo ni timu ya kawaida tu,

Man U alivyoondoka Ferguson,walikuahawataki kuamini kama watakuwa timu ya kawaida sasa hivi wanajionea wenyewe.

Hata hao Chelsea hatutaelewana saizi,mpaka baadae.

Huyo ligi alishaizoea huyo atakayekuja anakuja na utaratibu wake Lazima wayumbe kwanza au watayumba mazima kama Man U.
Jidanganye
 
View attachment 2129361
New dribbler in town.

Hahaha na bado anaedelea kupewa tips za kucheza Liverpool way.

Huyu dogo ki ufupi kaja pia kaletwa kimkakati kumshusha Salah kwenye madai ya mshahara aisee maana sio kwa mishe zile yaaani mwanzo mwisho hachoki wala nini, haogopi kujaribu yupo Street Football zaidi. Hawa FSG sio watu powa kabisa wana tactic balaa. Kabla Diaz hajaja Salah alikua ndio kawashika vizuri FSG lakini sasa naona baada ya ujio wa Diaz hawa FSG sasa wana pakuanzia kumshusha mshahara pengine atue mpaka hio 300k kwa wiki.

YNWA
Huyu dogo anahitaji mazoezi zaidi ya kifikra aweze kuwa mfungaji. Kwa sasa anakimbia na mpira pasipo mwelekeo wa kupata goli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom