Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,533
- 81,264
Na iwe hivyoHuyo tutamfanya kama tulivyomfanya Leicester.
Na iwe hivyoHuyo tutamfanya kama tulivyomfanya Leicester.
Nafasi ya nne msimu huu inatakiwa na timu nyingi sana wakiwemo Manchester United, Wolverhampton Wanderers, Arsenal, Westham na Tottenham hivyo sio mechi rahisi kwetu na ukizangatia kwa timu za kupiga kaunta imekua ni changamoto kwa kuweka high line defence.Tough one. Jamaa huwa wanatukamia sana.
But i trust the boys.
YNWA.
Aisee. Usiwachukulie powa lakini watalala tu hakuna namna.Hao ndio nilikuwa nawatamani sana tulipe kisasi
Hahaha tetesi za kitaa Jumapili hii ndio Manchester United wanaanza rasmi mipango ya kudhibiti nafasi ya nne.Westham nishikie shati hawa Liverpool ....draw tu inatosha ...
Konate and MilnerView attachment 2138864
No Matip.
No Thiago.
Duuh.
Je nafasi ya Matip, Kati ya Konate na Gomez acheze nani?
Je nafasi ya Thiago, kati ya Jones, Ox, Keita na Elliott acheze nani?
YNWA
United sio kwamba wanacheza vibaya tu ni kwamba ,anguko lao lishafika hawana bahati hata Ronaldo abaki na goli pekee yake hawezi kufungaHahaha tetesi za kitaa Jumapili hii ndio Manchester United wanaanza rasmi mipango ya kudhibiti nafasi ya nne.
Usidhani ni gemu rahisi kwako.
Na presha itakua kwako pale sie tumeshinda mtacheza na tension sanaaaa.
YNWA




😂😂😂😂😂😂😂😂Bwana weee CR7 no more haha na mshahara ule ila Manchester United walichemka kwa huyu bwana aisee wangeacha atue kwenu kama ilivyotangazwa, hua najiulizaga wenzetu wanaangaliaga mpira upi maana CR7 tangu yupo Juventus alionekana kuanza kuchuja ina maana kumtegemea eti ndio awarejeshe kileleni ilikua ni zilipendwa aisee japo kwangu naona sawaaaa wapoteana kabisaaaaa hukooooooo.United sio kwamba wanacheza vibaya tu ni kwamba ,anguko lao lishafika hawana bahati hata Ronaldo abaki na goli pekee yake hawezi kufunga
Hawa tunawapiga goli 3 mapema kabisa mkuu ..keep watching
Stone na Laporte watafanya kazi yao ....ila Laporte huwa anachoma sanaa,nikikumbuka game ya Spurs daaa .....Bwana weee CR7 no more haha na mshahara ule ila Manchester United walichemka kwa huyu bwana aisee wangeacha atue kwenu kama ilivyotangazwa, hua najiulizaga wenzetu wanaangaliaga mpira upi maana CR7 tangu yupo Juventus alionekana kuanza kuchuja ina maana kumtegemea eti ndio awarejeshe kileleni ilikua ni zilipendwa aisee japo kwangu naona sawaaaa wapoteana kabisaaaaa hukooooooo.
Ila ndugu bila Diaz hizi wiki 3 jiadae kuishi maisha ya wasiwasi sanaaaa..
YNWA


Milner hapana West Ham wana runners and we need to be aggressive young energetic blood will go with Jones kama ana 💯 % fitness.Konate and Milner
Laporte kama sikosei ana win percentage per game zaidi ya beki wako wote hivyo jiulize kwa nini gemu zote kubwa jamaa akiwa fit hakosagi kabisa kucheza.Stone na Laporte watafanya kazi yao ....ila Laporte huwa anachoma sanaa,nikikumbuka game ya Spurs daaa .....
Mwisho wa siku tunakutana na man u ambayo haipo kwenye kiwango kivile ...labda tu mambo mengine ya kimpira yatokee ......!
Nakumbuka Hawa nyumbu walimwamkia vzuri Chelsea ,Chelsea hakuamini![]()
Aisee. Usiwachukulie powa lakini watalala tu hakuna namna.
My prediction ni 3 2.
YNWA
Kwa kucheza 4 3 3 high line defence na kukosa mchezaji wa kutuliza kasi ya mpira pale kati hawa Wagonga Nyundo watakuja mazima ukumbuke pia hawapo nfasi mbaya kushuka daraja wapo nafasi ya 5 hivyo hawana cha kupoteza zaidi ya kusaka kumshusha Manchester United alipo.Mkuu unawachukuliaje poa na wakati walitufunga?
Mkuu hawata pata goli hata moja hao.
Kapambane kusaka mteja msije angukia pua darajani...Nyie kuku ..Sisi chelsea tutakuwa stong tena ..angalia leo tunavyomla burnley ..jipangeni nafasi ya pili inatuhusu..
Nyie kuku ..Sisi chelsea tutakuwa stong tena ..angalia leo tunavyomla burnley ..jipangeni nafasi ya pili inatuhusu..