Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Scouser katika ubora wake.
Mlimuona alivyomjia juu Rudiger haha.
YNWA
Niliipenda sana asee😃😃😃
Haha na kweli bhana, mtu tunayemtegemea ndio kaenda kutumalizaPenati hazina mwenyewe.
YNWA
Ahsante sana kwa pongeziHongereni sana kwa ushindi,
Update required
Nisaidieni clips za penalties wakuuNiliipenda sana asee![]()
Pole kwa kupoteza piaHongereni sana kwa ushindi,
Asante mkuu,OllaChuga Oc
juan david
Hziyech22
Na wageni wote hapa poleni sana kwa kukos Carabao.
Kushindwa leo sio mwisho wa Mashindano bado kuna FA, UCL pambanane huko jamaa zangu.
Tunashukuru kwa kutupa proper check kwa dakika 120+.
YNWA
Pamoja ndugu.Asante mkuu,
Hopeful tutakutana tena kwenye fa cup or uefa
Hongeren Liverpool
Huyu dogo akiwa updated zaidi ya hapo atakuwa monster aise, aongeze pumzi zaid naona leo pumzi ilimzimikia kuna muda.View attachment 2133381
Nuff respect kwa huyu dogo.
Hakika namba 23 ipo kwa mtu sahihi.
Alivyotoka tu Chelsea kwa kweli waliamsha mno.
YNWA
Asante mkuu,
Hopeful tutakutana tena kwenye fa cup or uefa
Hongeren Liverpool