Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Bora Taikumi aisee na hii Carabao ndio mfungaji bora kwetu.Milner kuingia imekuwa ni wastage ya rasilimali watu kwani tumebaki 10 tu.
YNWA
Bora Taikumi aisee na hii Carabao ndio mfungaji bora kwetu.Milner kuingia imekuwa ni wastage ya rasilimali watu kwani tumebaki 10 tu.
Afadhali.Mendy out,kichwa kinauma
As I said before
Tupe update ivo ivoChelsea wanapata
Umuhimu wa Milner tunauona sasaWoow Milner na Fabinho safiiii
YNWA
Yeah 😁😁Lukaku anakosa