Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Knock knock here comes new boy

Screenshot_20220130_193111_com.android.chrome_edit_221221864128743.jpg


YNWA
 
Baada ya Elliott kupona na Jones, Ox kurudi naona Klopp anakomaa na alionao pale kati kwanza na ukumbuke pia Thiago anatarajia kurudi na Keita pia ..

Bissouma ni Juni 2022 ndio mpango. Hopefully atakua bado yumo maana Aston Villa walionyesha nia kwa £30m January hii.

YNWA
Yeah niliona wanasema plan ilikuwa ni kifanya revamp summer 2022 ila baada ya kuona potential targets (especially Diaz) anawindwa kwa karibu na Spurs wakaona ni noma kuporwa tonge mdomoni.

So na expect summer window kutakuwa na suprises za kutosha in terms ya addition and pruning.

Time for our 'beloved' old English midfielders to part way 😂😂
 
Hahaha bwana wee huyu dogo atue kwa kweli ni kipaji aisee kusubiri Juni 2022 usishangae wakatuzidi wengine donge nono la mshahara nk...

Amefunga magoli 11 katika gemu 19 msimu huu na kwa umri wake na kule Championship kulivyo kugumu sio haba ujue...

YNWA
Very true. Dogo ana potential ya kuja kuwa one big thing.
 
Yeah niliona wanasema plan ilikuwa ni kifanya revamp summer 2022 ila baada ya kuona potential targets (especially Diaz) anawindwa kwa karibu na Spurs wakaona ni noma kuporwa tonge mdomoni.

So na expect summer window kutakuwa na suprises za kutosha in terms ya addition and pruning.

Time for our 'beloved' old English midfielders to part way 😂😂
Hahahaha time to move the dead woods bhana khaaa tumekaa nao vya kutosha...

Inasemekana itakua bizy Juni 2022 kwa Julian kuwatoa baadhi ya wachezaji na kuleta sura mpyaaa kabisa.

Hahaha we are ready to welcome new addition for the great course to reclaim our lost ground...

In Klopp i trust..

In Julian i trust..

In the boys in trust..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom