King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Kuna mtu mwenye swali.
Kelleher si mchezo.
YNWA
Ukitoa Liverpool, Chelsea, Man City, pengine na Manure huyu Kelleher ana uhakika wa kucheza golikipa namba 1 timu zote zilizobakia, Hivyo tuna kazi kubwa ya kumbakisha hapa Liverpool huyu Dogo, lazima Klopp atumie ujanja wa kumgaia Dakika za kutosha au amtoe kwa Mkopo aende akacheze kikosi cha kwanza! Vyenginevyo anaweza kudai kuondoka ili apate muda wa kucheza.