Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwanini asifanye sub faster?
Haya ndio mambo yamemnyiga kombe la Uefa Pep kipara akina Bayern Munich na akiwa na Manchester City.. Unategemea kikosi hiki yeye anakuja na hiki..

Ingekua powa aanze na kikosi cha ushindi aafu baada ya dakika 60 awatoe sasa hapa haya nyie twedeni tu.

YNWA
 
Tuna mechi kali sana siku zijazo ama wiki zijazo lakini kwa upangaji huu bila wachezaji wako hatari RB na LB hawapo na bado akacheza 4 3 3 ndipo shinda imeanza..

Ox na Keita nje tegemea ushindi sasa.

YNWA
At least now we can breath maana hali ilikua tete [emoji16][emoji16]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom