Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,448
- 32,877
Mnasema aje, jamaa Bobby apewe mkataba ili awe supa mbadala pindi anavyohitajika ama tuchukue mahela ya Catalan
YNWA
Mkuu hii inaitwa "throw the spanner in the work" nina uhakika wakati Inter Milan wanafanya drill namna ku approach ile gemu hawakua hata wakimwazia Elliott kua starting 11 jana, Klopp kawavuruga sana na ile starting line up... Ingefanya kazi vyema Klopp angekua amefanya one hell of plan but too bad hata Klopp mwenyewe amekiri dogo hakucheza vyema alivyotarajiwa.It was a very good win
Tough game… wataliano walitukamata in our own game
Klopp should balance our mido better… Harvey anacheza kama a third mido lakini his natural attacking play inakua inamsukuma alipo Salah… matokeo yake we remain with just to CMs
Na hii inaweza either kumjenga zaidi kwenye role akiwa nyuma kidogo hivyo kuwa na bigger role… lakini pia inaweza kummaliza hasa pale tunapozidiwa
Ningetamani sana jana if Harvey angepiga hata 10 minutes in the front 3
Salah wa kipindi hiki hana kiwango chochote bali ana bahati tu ya kufunga ngoja apewe mkataba mpya ndio mtaamini.View attachment 2122214
Julian Ward kila akichelewa kutoa mkataba atajikuta Salah anataka 500k kwa wiki Hahaha Salah ana mission wala hana utani...
YNWA
Njooni tena muanzie Anfield tuwanyoe mazima...Hakuna team inatamani kukutana na Liverpool kwenye CL aisee ni shidaaaa ....
ila ipo team moja tu ..... Manchester city
Salah yupi unaemsema ndugu.Salah wa kipindi hiki hana kiwango chochote bali ana bahati tu ya kufunga ngoja apewe mkataba mpya ndio mtaamini.
Liverpool is made for UCL nights yaaani.Dah
City amtoe Liverpool ucl?
Kudadeki hii Liverpool utaipenda tu hakuna namna...SHOT INFORMATION ABOUT LIVERPOOL THIS SEASON AND BEFORE
LIVERPOOL IS IN CARABAO FINAL ALREADY♨️♨️♨️
LIVERPOOL IS IN LAST 16 OF UEFA CHAMPIONS LEAGUE⚽⚽
LIVERPOOL IS STILL COMPETING IN FA CUP⚽⚽
LIVERPOOL IS ON POSITION 2 IN EPL WITH A GAME IN HAND⚽⚽
LIVERPOOL HAVE MO SALAH AS TOP GOAL SCORER AND DIOGO JOTA ON SECOND⚽⚽
LIVERPOOL HAS ANDY ROBERTSON AND TRENT ALEXANDER ANOLD AS TOP ASSIST PLAYERS⚽⚽
LIVERPOOL HAS THE HIGHEST NUMBER OF GOALS SCORED IN EPL THIS SEASON⚽⚽
LIVERPOOL HAVE LOST 2 GAMES THIS WHOLE SEASON IN ALL COMPETITION AND INCLUDING EPL♨️♨️♨️
LIVERPOOL HAS WON 19 LEAGUE TITLES IN THEIR HISTORY AND SECOND TO MAN U WITH 20⚽⚽
LIVERPOOL HAVE WON 6 UEFA CHAMPIONS LEAGUE TROPHIES IN THEIR HISTORY WHICH IS THE HIGHEST FOR ANY ENGLISH FOOTBALL CLUB⚽⚽
LIVERPOOL HAS THE HIGHEST NUMBER OF SUPPORTERS IN ENGLAND⚽⚽
LIVERPOOL HAVE WON ALL MAJOR TROPHIES AT CLUB LEVEL IN THEIR HISTORY♨️♨️♨️
THE LAST 5 YEARS LIVERPOOL HAVE WON UEFA CHAMPIONS LEAGUE TROPHY, ENGLISH PREMIER LEAGUE TITLES, UEFA SUPER CUP AND CLUB WORLD CUP👑👑👑
LIVERPOOL IS ONE OF FEW TEAMS WITH A BALLON DOR WINNER IN THEIR HISTORY NAMELY MICHAEL OWEN👑
THEY HAVE FINISHED IN TOP 4 IN THE LAST 5 YEARS
LIVERPOOL HAS NEVER LOST TO THE TOP 4 TEAMS IN ENGLAND THIS SEASON👑👑
THEIR ONLY DEFEAT WAS AGAINST WESTHAM 3:2 AND LEISTER 1:0 BOTH GAMES AWAY FROM HOME👑👑
LIVERPOOL HAS SCORED IN ALL GAMES THIS SEASON EXCEPT ONE AGAINST LEISTER⚽⚽
LIVERPOOL HAS THE MOST BEAUTIFUL FOOTBALL GAME ATMOSPHERE AT ANFIELD THE ONLY PLACE ANY TEAMS FEARS TO PLAY♨️♨️♨️
LIVERPOOL HAS MORE NATIONAL CAPTAIN IN THEIR TEAM NAMELY👑👑
MO SALAH FOR EGYPT
ANDY ROBERTSON FOR SCOTLAND
VIRGIL VAN DIJK FOR NETHERLANDS
JORDAN HENDERSON VICE CAPTAIN 4 ENGLAND
NABY KEITA FOR GUINEA
MANE VICE CAPTAIN 4 SENEGAL⚽⚽⚽👑👑👑
LIVERPOOL FC IS SIMPLY A SPECIAL CLUB WITH A BEAUTIFUL STORY AND INCREDIBLE HISTORICAL REFERENCE!!!
huniambii kitu...yaani wife akijua ni mechi ya liverpool....anajua hamna lake that day 😎 ...YNWA....WE laugh n cry pamoja....chama linanipa raha sana.......