Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220217_070244_com.android.chrome_edit_190822653057859.jpg


Huyu msaidizi wa Klopp Kai ana balaa kubwa kwamba haya maelekezo kayatoa yeye jamani.

YNWA
 
It was a very good win

Tough game… wataliano walitukamata in our own game

Klopp should balance our mido better… Harvey anacheza kama a third mido lakini his natural attacking play inakua inamsukuma alipo Salah… matokeo yake we remain with just to CMs

Na hii inaweza either kumjenga zaidi kwenye role akiwa nyuma kidogo hivyo kuwa na bigger role… lakini pia inaweza kummaliza hasa pale tunapozidiwa

Ningetamani sana jana if Harvey angepiga hata 10 minutes in the front 3
 
It was a very good win

Tough game… wataliano walitukamata in our own game

Klopp should balance our mido better… Harvey anacheza kama a third mido lakini his natural attacking play inakua inamsukuma alipo Salah… matokeo yake we remain with just to CMs

Na hii inaweza either kumjenga zaidi kwenye role akiwa nyuma kidogo hivyo kuwa na bigger role… lakini pia inaweza kummaliza hasa pale tunapozidiwa

Ningetamani sana jana if Harvey angepiga hata 10 minutes in the front 3
Hili jambo mimi lina nikera sana kama hawezi kumpanga mbele japo dakika 15 sababu Salah bora amtoe kwa mkopo tena kati hapendezi kabsaa anaongeza mzigo kwa viungo halisi.

Ukubwa wa mechi ya jana unamuweka benchi Keita ili Eliot acheze nimehuzunika sana uzuri tumeshinda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom