Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Perfect!!!

Tunajisahau upesi… to me, gini was not treated well

One dark side of his saga was the dip
In form for the club hasa saga lake lilipoanza - was he influential? 🤷🏽‍♂️

Anyways… klopp is our biggest signing Kwa LFC in years
Nakumbuka MosDef alielezea hili sakata la Gini kwa kina mpaka ikaonekana kwamba dogo amekua kind of greedy haha lakini who can blame he was 29yrs and the next contract had to be a bit fat maana its might be the last one he hold the upper hand... I suspect Koeman advised the boy he was to be sacked Barcelona hivyo atazame another green pasture kukipiga...

Kucheza MF ya Klopp to my own understanding a player must possess the following traits...

1)TACTICAL AWARENESS

2) POSITION AWARENESS

3) TACTICAL ABILITY

4) UNDERSTANDING THE GAME

5) TECHNICAL ABILITY.

Gini was scoring above 7 or more👆 👆 when on song.

Sasa on Gini...

Gini mchezaji wa kawaida so they say man you don't pay £27.5m for a pedestrian player who was actually relegated on that season.

Even before he signed the data guys had updated Klopp why that signing was significant for his game plan.

Gini alikaangwa na FSG kwamba anataka alipwe £300k kwa wiki. Sasa social media wakamshukia mazima na like you side the whole team was performing horrible without VVD we were really bad and the one player that got the beating kwa Social Media was Gini even saying kwamba he is leaving that why he care less where we finish sasa unajiuliza hio mechi alicheza peke yake. My guess FSG used the media to finish Gini. Wenzetu ni watu wa ku spin sana mambo kama hawakutaki kuna kampuni kazi yao ni ku spread all kind of rumours mpaka uongo unaonekana ni kweli na kwa hili Gini was crucified big time.

Why do Gini and akina Henderson seem effective under Klopp the answer ni hii hapa chini 👇

As well documented Klopp game plans and his support from the data guys.

*Ian Graham Liverpool Director Research
*Will Spearman Lead Data Scientist
*James French Opposition Analysts
*Greg Mathieson Opposition Analyst
*Tim Waskett Statistical Research

Hawa jamaa ndio washauri wa Klopp nini anawategemea sana kuwasabararisha wapinzani na pia kwenye usajili kuhusu namna mchezaji mpya atatumika aje akisajiliwa Liverpool...

Wanamshauri Klopp mpaka position ya wachezaji uwanjani wapi anatakiwa kwa muda gani with or without the ball depending na mfumo wa opposition. That why we always ask mbona MF yetu ni butu haina magoli wala nini well dont expect that to change soon. Klopp trust this guys because they delivered tazama usajili wa Salah na magoli anayofunga by th way wakati anatua nisingesema boy will this good man. Or even Allison or Robertson man. Ni kazi hua inafayika closee doors aisee very interesting how they do this and Klopp transpire that to the boys. I salute them.

Rumours say Edwards used Data to convince FSG kumsajili Klopp pamoja kwamba msimu wake wa mwisho Dortmond ulikua really bad lakini on the data side ilionyesha kwamba they lacked the right players msimu ule.

Edwards mwenyewe ni data pro hivyo FSG agreed and wakamsikiliza and they why Klopp speaks very highly of this data team pale Liverpool.

This guys are just in their own league man. Rumours has its even Liverpool under firing MFS is down to thier way of data haha tutulie jamaaa.

YNWA
 
You can say that again sir

Klopp ni mfumo
Let's be honest can Henderson get starting number in any of Top 10 teams in Europe haha lakini chini ya Klopp the boy at times do shine man hahah job wel done kwa mazoezi lol...

We agree to agree Klopp neat the system even the mediocre players hu shine kabisaa...

He is the sytem.

Best signing of the New EPL Era for Liverpool competing with cash loaded oil rich guys wa Chelsea, Manchester City is no joke while operating on very tight budget..

Klopp king of Kop.

YNWA
 
I feel sorry for him

One of our most loyal servants

Amshukuru Mungu tu sasa
Kabisa I think Laporta winning Barcelona presidency spelled doom for Koeman and he must have told Gini dont come here its a sinking ship.

He went to star loaded PSG earning 300k kwa wiki haha on salary side mambo mazuri on field side mambo sio mambo. Tetesi ni kwamba Mauricio anatimkia Manchester United hivyo upo uwezekano wa Zidane kutua pale so dogo angetulia tuliii aone mambo yanavyokwenda pengine under Zizou ata perfom again...

YNWA
 
Mishahara ya wachezaji wanaotarajiwa kuondoka msimu huu wa joto, (takriban Takwimu): Phillips: Pauni 19,000 N. Williams: £9,000 Adrian: £63,000 Karius: £65,000 Minamino: £72,000 Asili: £82,000 Milner: Pauni 150,000 Pauni 395,000 kwa wiki kutoka kwenye bili ya mshahara.
 
What a boy down to earth fighter, followed Klopp directions with utmost dedication...

He made VVD, Robertson and Fabinho work very smoothly as he was operating on the left side man.

To me he is legend, remember how he fixed Barcelona on our way to win the sweet 6th UCL trophy Hahaha.. Even Messi was astonished haha...

He aint the gifted like his fellow stars in PSG but man if you want a guy who followed Klopp game plan to the letter he is the one then Firmino.

He was played out of position at Liverpool but rarely did that affect his performance...

I hate now he might not be playing at UCL...

YNWA
Huyu jamaa alishawahi kutumika kama defender kwenye 352… that was funny but we won

Always have it all
 
Huyu jamaa alishawahi kutumika kama defender kwenye 352… that was funny but we won

Always have it all
Alikua kiraka wa Klopp huyu hahaha...

Mr Go Fix together with Bobby they are just that good but not the most gifted out there and at times knowing and executing Klopp plan was what was needed and that where they stand above the rest...

Thier instinct is just another level with the very best organisation skills to make other players blossom and shine...

Nimeona hizi gemu alizocheza Jones upande ule ule wa kushoto imemfanya Robertson ku shine vyema sana. Inawezekana Jones is coming of age with flow of game his movement and knowing where to be ili Robertson apeleke mashambulizi mbele...

Liverpool structure is 4 3 3 Attacking with dynamic full backs thus making MFs abit orthodox when going forward. Pale kati MFS discipline of keeping position is always the key if we are to win games lakini if they are all over the field lose concentration then we are doomed case study this season Brentford away, Westham away, Tottenham away, Chelsea away nk...

By the way i wonder when Klopp will ever switch to 3 5 2 haha we will be bombastic man only problem with this ni injuries na kakikosi kenyewe kalivyo kaduchu sioni tukitoka salama haha no wonder Klopp sticks to what delivers 4 3 3 any day though at times during games he do reshape but the idea when attacking still remain the same using the flanks..

YNWA
 
Nyie matakataka mutamaliza nje ya top four msimu huu. Hamuna timu ya kuleta ushindani mbele yetu.
#CFC💙💙💙
 
Sasa mkuu hapo kwenye kupigwa hata usijarib kuongea takumi tumemchukua kwa bei ya mtumba kabisa milion 8 tu hapo bado hatujamuuza na bado ametupia vigoli ambavyo vinaenda kutupa kombe mbele yenu

Sasa tukija kwenu mabingwa wa kupigwa hata ctachukua wachezaj weng
1.Kepa anaezubaaga
2.Timo werner
3.Bolingoli a.k.a awafu mwenye nguvu
Emb tuongee nan bingwa wa kupigwa
Sisi tunafanya business na siyo waoga Kama ninyi kuku ..ndio maana tunabeba makombe karibu Kila msimu.
 
Nyie matakataka mlivyo na mbwe mbwe Sasa ..mara opponents mjipange, mara sijui Nini ..mumesahahu sisi ndio mabingwa watetezi UEFA?! Subiri Kwanza nikuchape kwenye carabao ndio ujue huna timu hata ya kuiashia top four msimu huu ..labda top six kidogo utakuwa umejitahidi sana.

munakumbuka goli la Kamanda Covavic.. hehehe mwambieni Alison bakari lile ndio Bora la mwezi January hehehe...😂😂😂
#CFC💙💙💙
 
Embu tujadili hili.

Klopp ni mfumo.

Tunaposema mfumo maana yake ni muunganiko wa vitu kadhaa kwa ajili ya kupata matokeo fulani chanya ili kufikia malengo.

kama ni 4-3-3 makocha weeeeeeeeengi wanacheza nini nyuma ya Klopp kuitwa system?

Kwanza Klopp ni Gegen pressing method coach. "heavy metal football". Maana yake ni counter pressing. Huu ni mfumo ambao unahitaji high pressing unashambulia kwa kasi na kukabia juu na punde tu timu inapopoteza mpira. Ijulikane huu ni mfumo wa magoli zaidi na mfumo huu unahitaji high aomunt of focus, awareness and fitness.
Gegenpressing ni mfumo unahitaji kua na wachezaji wenye kasi sana maana kwenye ushambuliaji na ukabaji kote ni kasi sio possession method. Alipokuja Mjerumani huyu misimu mitatu ya mwanzo aliwaka na huu mfumo kiasi cha Ferguson kusema anataman kuona mwisho wa gegenpressing maana huwez kucheza hvyo throughout season(s) mbinu ya mbio muda wote.

Baadae Klopp akaja kupunguza geggen kwa sababu isiyo rasmi hii ni kufikiri kwangu fitness ya wachezaji injury zilikua nyingi na kufungwa magoli mengi ingawa unafunga pia mengi zaidi.

Baadae klopp akaja na method nyingine High Defensive Line akachanganya na gegenpressing. HDL ni mfumo unaotaka ubanaji wa uwanja full backs wanapanda juu robo tatu ya uwanja wa opponent kisha CB's (4,5) wanatanuka kuwa cover RB $ LB na DM anakua katikati ya CB's kuomgeza ulinzi.

HDL inalazimisha opponent kubanwa kwenye half yao huku pressing ikiwa inapigika. Hehehe huu mfumo wa HDL unakera balaa ukichezewa kubaniwa kwako. Embu fikiri uwanja una urefu wa 100+ M halafu mnalazimishwa kutumia nusu tu ya urefu wa uwanja hahah unakera, unaikumbuka BARCA. ile ya kina Xavi Iniesta ilivyokua inakera eh ..?? Ndio haka ka HDL kakitumika kanakua hvyo.

Kwa hiyo Klopp tunaposema mfumo hizo ndio methods zake GEGEN PRESSING HIGH DEFENSIVE LINE, anazotumia high intense, fast-paced, aggressiveness.

Mwisho Klopp ni kocha anayejua kudeal na misuguano ya wachezaji kwa ujumla wake, kocha anayetoa uhuru kwa mchezaji acheze awezavyo. Play Football Enjoy Football.

Mechi ya Barca 2nd leg alipomuingiza Gini alimpa jukumu la kwenda kucheza defensively zaidi ya offensively lakini Gini alienda extra na kucheza offensively na akascore magoli yaliyotupa CL season ile.

THE GERMANY GENIUS IN FOOTBALL.
Jurgen Norbert Kaizer Klopp.
YNWA
HDL mfumo wa kiboya sana watu wakishakujulia, ulianza kuvuja siku ya 3-0 dhidi ya watford, City akaja kutulamba na 7-2 vs Villa, huu mfumo Klop angeachana nao arudi kwenye ule wa 2019-20, timu ilikua solid sana, sasahivi tuaokolewa sana na Allison, yani wapinzani kumfikia Allison ni kawaida sana, rejea mechi vs spurs ilikua tufungwe hata 5, Mechi na Man united sawa tulishinda 5 ila chance zao wangetumia tungeruhu goli 3
 
HDL mfumo wa kiboya sana watu wakishakujulia, ulianza kuvuja siku ya 3-0 dhidi ya watford, City akaja kutulamba na 7-2 vs Villa, huu mfumo Klop angeachana nao arudi kwenye ule wa 2019-20, timu ilikua solid sana, sasahivi tuaokolewa sana na Allison, yani wapinzani kumfikia Allison ni kawaida sana, rejea mechi vs spurs ilikua tufungwe hata 5, Mechi na Man united sawa tulishinda 5 ila chance zao wangetumia tungeruhu goli 3
Amini.

kila mfumo unahitaji watu wa kuutumia na sio mfumo utumikie watu.

hiyo 2019/2020 season HDL bado uliluwepo sema tulikua kwenye ubora sana no injuries za muda mrefu na za kujirudia rudia.
HDL + Gegen ni mfumo murua sana kwa mimi.

Kufungwa kupo inategemea na amount of focus and awarenes.
Unahitaji solid MF's na CB's tu HDL inakupa matokeo mazuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom