No disrespect kwa mo Salah he is a great perfomer lkn waliondoka kina coutinho which was a great performer pia na hatukutetereka

Mtu ambaye akiondoka lazima tujitafute ndani ya msimu mmoja au miwil ni klop mwenyew
No one is bigger than Liverpool. Aliodoka Shankly akatua Paisley kwa mafanikio makubwa sana.

Hili la Klopp kuodoka one day ataodoka hatuwezi kubaki nae milele.
Binafsi ningependa msaidizi wake Pep Lijnders amridhi Klopp pengine kutokana na kufahamu vyema mbinu za Klopp ataedeleza yale yale wanayofundisha pamoja na tutabaki salama.

Manchester United, Everton na Arsenal yamewapata haya hopefully klabu kama kweli anaodoka 2024 wameshaanza behind the scenes profiling ya mridhi wake.

YNWA
 
😂😂😂😂😂😂Huyu Chugga man ni mgeni wetu kuchangamsha jukwaa na anajua vyema sisi ndio wakali wake..

Ollachuga Oc atakua anatumwa na Thomas kocha wao kutuletea mind games hapa, atake asitake Wembley analala huku tukinyanyua kwapa na kwenye ligi hatomaliza zaidi ya nafasi ya 3 🤣🤣 huku pia UCL akisema bye bye. Pona yake ni ushauri wa Lukaku ufuatwe kwamba anatumika isivyo kimfumo.

YNWA
Hahahaha unakumbuka Mara ya mwisho Hazard aliwafanya Nini carabao?! Ndio kitu tunaenda wafanyia nyie kuku ..sisi mbele ya kombe huwa hatuna msamaha kabisa. Tunawanywa mapema tu Yani mjipange haswa maana kikombe hiki ni Mali yetu sisi ..🤣
CFC💙💙💙
 
Hahahaha unakumbuka Mara ya mwisho Hazard aliwafanya Nini carabao?! Ndio kitu tunaenda wafanyia nyie kuku ..sisi mbele ya kombe huwa hatuna msamaha kabisa. Tunawanywa mapema tu Yani mjipange haswa maana kikombe hiki ni Mali yetu sisi ..🤣
CFC💙💙💙
Hahahaha itakua gemu powa sanaaaa.

Ni mwezi huu wa pili ndani ya Wembley 27/2/22.


YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Huyu Luis Diaz tumepigwa hamuna kitu mule..
Takumi alikuja kwa mbwembwe lakini mwishowe tumemuona.
Sasa mkuu hapo kwenye kupigwa hata usijarib kuongea takumi tumemchukua kwa bei ya mtumba kabisa milion 8 tu hapo bado hatujamuuza na bado ametupia vigoli ambavyo vinaenda kutupa kombe mbele yenu

Sasa tukija kwenu mabingwa wa kupigwa hata ctachukua wachezaj weng
1.Kepa anaezubaaga
2.Timo werner
3.Bolingoli a.k.a awafu mwenye nguvu
Emb tuongee nan bingwa wa kupigwa
 
Back
Top Bottom