Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Nilitamani sana aje January.

Sent from my Pro_Max11 using JamiiForums mobile app
Bwana wee logistics zilikua mtihani kiasi..

Ngoja tusubiri Juni 2022 taarifa ni kwamba mkataba wake upo tayari na dogo alishakumbali na hii pia ni kutokana na Klopp kuwapa vijana nafasi kama vile TAA, Jones, Kelleher na msimu huu Elliott hivyo inampa picha akijutuma kumbe kupata namba kikosi cha kwanza uwezekano upo..

YNWA
 
Who coul have predicted this.

Gini alikua mchezaji wa kwanza match day squad Liverpool. Mpaka anaodoka ndio mchezaji aliecheza mechi nyingi sana chini ya Klopp na tunajua sio kwa bahati mbaya maana dogo hakua anaumia mara kwa mara. He was Mr. Fit.

Sasa haya uwezekano atatemwa kikosi cha PSG kushiriki Uefa ni ngumu kumeza kwake..

Screenshot_20220203_143702_com.android.chrome_edit_332700368956003.jpg


In life some situations are unpredictable, dudes watch what you wish for...

YNWA
 
Who coul have predicted this.

Gini alikua mchezaji wa kwanza match day squad Liverpool. Mpaka anaodoka ndio mchezaji aliecheza mechi nyingi sana chini ya Klopp na tunajua sio kwa bahati mbaya maana dogo hakua anaumia mara kwa mara. He was Mr. Fit.

Sasa haya uwezekano atatemwa kikosi cha PSG kushiriki Uefa ni ngumu kumeza kwake..

View attachment 2106388

In life some situations are unpredictable, dudes watch what you wish for...

YNWA
Huyu kiwango chake kilikuwa cha kawaida tu, team work ilimbeba, sasa timu ka PSG au Madrid zinategemea uwezo binafsi wa mchezaji, mastaa kibao...
Klopp kocha, liverpool inawachezaji wenye uwezo wa kawaida sana ila wanaperform vizuri, hata Salah akiondoka yatamkuta haya haya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom