Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 13,544
- 28,481
YNWA
Kwenye magoli nadhani anazidiwa na mkali kutoka Uruguay Darwin Gabriel Nunez wa Benfica ana magoli 15.
Wakali wa magoli Ureno...
heheh kama vile mazuri ila ndio hvyo miaka mingine mitatu..Huu usajili wa Luis Diaz utatutokea Puani manake utachukua muda sana ili kuweza kuletewa mchezaji mwengine
Huu usajili wa Luis Diaz utatutokea Puani manake utachukua muda sana ili kuweza kuletewa mchezaji mwengine
Huyu anatakiwa aoneshe uwezo sasa sio akae anaachama achama tu.
Huu usajili ni ishara kuna safari kuuzwa kwa mmoja ama wawili kati ya hawaHuu usajili wa Luis Diaz utatutokea Puani manake utachukua muda sana ili kuweza kuletewa mchezaji mwengine
Huu usajili ni ishara kuna safari kuuzwa kwa mmoja ama wawili kati ya hawa
- Mane
- Salah
- Firmino
- Origi
- Taikumi
Pazuri ni kwamba huyu dogo akitua mapema hivu tutapata picha kama uzito wa jezi ataimudu vyema..
Huyu ni pacha wa Jota anapiga na miguu yote miwili na wanasema chini ya mwalimu Klopp atafika levo zingine..
Klopp revolution inakwenda powa kimtindo usajili wa Jota, Konate na Diaz ni kimkakati ukitazama umri wao utaona taratibu anaanza kupanga maisha bila hawa top performers wetu wa sasa..
YNWA
Huu usajili wa Luis Diaz utatutokea Puani manake utachukua muda sana ili kuweza kuletewa mchezaji mwengine
Mo akisepa tumeishanadhani minamino ataondoka wakati wa summer na origi akimfuata. Bado nina wasi wasi na mkataba wa Mo anaweza kusepa?
No disrespect kwa mo Salah he is a great perfomer lkn waliondoka kina coutinho which was a great performer pia na hatukuteterekaMo akisepa tumeisha
Minamino naona Leeds walipeleka ofa Liverpool wakaikataa na pia kuna timu kutoka Ujeremani ngoja tuone mpaka deadline labda itafanyika jambo.nadhani minamino ataondoka wakati wa summer na origi akimfuata. Bado nina wasi wasi na mkataba wa Mo anaweza kusepa?