Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,798
- 4,682
Trending nowMara pap akatua na huyu mkali Denis Lemi Zakaria Lako Lado mambo yatakua bam bam sana hapo Fabinho anasogea mbele kidogo kusaka magoli nje ya 18 na kuzuia early counters na huyu mwamba kutoka Usiwisi anacheza DM.
YNWA
Looks like Juventus are in pole position to sign him.Mara pap akatua na huyu mkali Denis Lemi Zakaria Lako Lado mambo yatakua bam bam sana hapo Fabinho anasogea mbele kidogo kusaka magoli nje ya 18 na kuzuia early counters na huyu mwamba kutoka Usiwisi anacheza DM.
YNWA
Naona baada ya kumaliza kuvuna Southampton sasa tumehamia Fulham hahaha...Trending now
(🟢) NEW:
Liverpool trying to sign Fabio Carvalho before the deadline. [Sky/Vinny O’Connor]
Jamaa mkataba wake unaisha Juni 2022 sasa Juventus wanaona itakua balaa wakisubiri Juni hivyo wamepeleka ofa usd 7m kumpata sasa.Looks like Juventus are in pole position to sign him.
Tutupie hapo 10 asee na mkataba mzuri. 25 years old anatufaa kwa muda mrefu kidogo.Jamaa mkataba wake unaisha Juni 2022 sasa Juventus wanaona itakua balaa wakisubiri Juni hivyo wamepeleka ofa usd 7m kumpata sasa.
YNWA
Hahaha bhana wee ingekua safi sana.Tutupie hapo 10 asee na mkataba mzuri. 25 years old anatufaa kwa muda mrefu kidogo.
Hahaha design kama Zakaria kwenda Juventus haha huyu Carvalho mkataba wake unaisha Juni 2022 sasa Liverpool wamestuka dogo kiwango kimeongezeka ikija Juni 2022 itakua vita kumpata wanaona bora watoe ela sasa kuliko kusubiri Juni 2022 wamchukue chini ya £10m design kama Elliott kwa bei kutajwa na tribunal...Naona wanasema LFC wame submit bid ya £12m na wana push kufinalize deal kabla ya kesho na kama likikamilika Carvalho atapelekwa FC Porto kwa loan ya 6 months.
Hivi kwanini hatuchokozi hata kidogo kwa Bissouma?Hahaha bhana wee ingekua safi sana.
Mrdihi wa Edwards ni Julian Ward ambae ana miaka 9 pale Liverpool moja ya majukumu yake miaka hio ilikua ni Scout Meneja nchi za Portugal na Spain kwa ajili ya Liverpool hivyo jamaa ana network powa sana ya vipaji...
Kabla ya hapo alikua anafanya kazi ya kusaka wachezaji kwa ajili ya Manchester City na timu ya taifa ya Ureno...
Ni mwaka wa pili sasa tangu awe msaidizi wa Edwards.
Huyu Zakaria ni machini haswa Klopp is interested design kama ya Matip ngoja tuone aisee.
YNWA
Sure thing. Suitors watakuwa wengi sana by summer. Ni heri tufanye yetu mapema. Kwa fee ya region hiyo ya 10m sio mbaya at 19years old ni bargain.Hahaha design kama Zakaria kwenda Juventus haha huyu Carvalho mkataba wake unaisha Juni 2022 sasa Liverpool wamestuka dogo kiwango kimeongezeka ikija Juni 2022 itakua vita kumpata wanaona bora watoe ela sasa kuliko kusubiri Juni 2022 wamchukue chini ya £10m design kama Elliott kwa bei kutajwa na tribunal...
YNWA
Baada ya Elliott kupona na Jones, Ox kurudi naona Klopp anakomaa na alionao pale kati kwanza na ukumbuke pia Thiago anatarajia kurudi na Keita pia ..Hivi kwanini hatuchokozi hata kidogo kwa Bissouma?
Hahaha bwana wee huyu dogo atue kwa kweli ni kipaji aisee kusubiri Juni 2022 usishangae wakatuzidi wengine donge nono la mshahara nk...Sure thing. Suitors watakuwa wengi sana by summer. Ni heri tufanye yetu mapema. Kwa fee ya region hiyo ya 10m sio mbaya at 19years old ni bargain.