Plesis
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 943
- 851
Best news so farNasikia ni done deal?
Best news so farNasikia ni done deal?
Injury ya nini huyu?View attachment 2098258
Arsenal wagumu kwenye usajili ila Liverpool kiboko, ilibidi klopp adanganye kuhusu Covid cases ili hierarchy ione umuhimu wa Squad depth.
Pep is Pep, reliably system, quality & profile, japo mngepata quality Players all over the squad naona klopp angejaribu his goodluck.Hapa kwenye ugumu wa kusajili ndiyo panafanya Pep aendelee kutuburuza EPL, Anyway naweza kuwa sipo sahihi kwani Chelsea na Manure wamemwaga Mihela lakini Maji wanaita Mma.