We are waiting...

Yasije kua ya TakumiView attachment 2098322View attachment 2098324
IMG-20220128-WA0008.jpg
View attachment 2098323

Sent from my Pro_Max11 using JamiiForums mobile app
 
Arsenal wagumu kwenye usajili ila Liverpool kiboko, ilibidi klopp adanganye kuhusu Covid cases ili hierarchy ione umuhimu wa Squad depth.
 
Arsenal wagumu kwenye usajili ila Liverpool kiboko, ilibidi klopp adanganye kuhusu Covid cases ili hierarchy ione umuhimu wa Squad depth.

Hapa kwenye ugumu wa kusajili ndiyo panafanya Pep aendelee kutuburuza EPL, Anyway naweza kuwa sipo sahihi kwani Chelsea na Manure wamemwaga Mihela lakini Maji wanaita Mma.
 
Hapa kwenye ugumu wa kusajili ndiyo panafanya Pep aendelee kutuburuza EPL, Anyway naweza kuwa sipo sahihi kwani Chelsea na Manure wamemwaga Mihela lakini Maji wanaita Mma.
Pep is Pep, reliably system, quality & profile, japo mngepata quality Players all over the squad naona klopp angejaribu his goodluck.
 
Back
Top Bottom