Niliwai kumwambia Ollachuga Oc hawa wachezaji wawili Kante na Mateo ndio injini ya timu na nikamwambia wakibaki kua wazima bila majeruhi basi mtakua na msimu safi kabisaaa too bad wamekua na injuries za hapa na pale...Man of the match ni Mateo kovacic kitakwimu huyu ndio aliongoza kuliko mchezaji yoyote akifuatiwa na Ngolo kante
Hili jibu linatosha mimi kulipa mahali yoyote kwa ajili yako.Na wewe wanakushangaa jinsi unavyopiga kelele humu wakati wanasubiri uondoke watoe analysis zao na kutoa ushauri namna ya kupanga timu.
Tena sio mojaKwani salah hakukosa goli la wazi yeye na kipa?
Tuna shinda kubwa sana japo kama mashabiki hua tunatoka kifua mbele kusema tupo kwenye mbio za ubingwa lakini hiki kikosi tumepata reality check mechi zifuatazo na zote tume drop pointi..Bora wewe umekuwa mkweli na siku zote unakuwa mkweli haupo kwenye mashabiki maandazi
Not true at allKonaté Ni Maguire mweusi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
There you are shida ni middleTuna shinda kubwa sana japo kama mashabiki hua tunatoka kifua mbele kusema tupo kwenye mbio za ubingwa lakini hiki kikosi tumepata reality check mechi zifuatazo na zote tume drop pointi..
Tumeachwa pointi 11 na Manchester City kutokana na matokeo haya.
*Mechi ya Chelsea wakiwa Anfield tukashindwa kutoka na pointi 3 muhimu. Mechi iliisha sare 1 1.
* Mechi ya Brentford sare ya 3 3 huku mpaka dakika ya 82 tukiwa tunaongoza 3 2 lakini wakaja rudisha goli na mechi ikaisha 3 3.
* mechi Manchester City Anfield tuliongoza goli 2 1 mpaka dakika ya 81 Debruyne akaja shawashiza mechi ikaisha 2 2.
* Mechi ya Tottenham tuliongoza 2 1 mpaka dakika 74 wakarudisha mechi ikaisha 2 2.
*Jana vs rejuvenated Chelsea Mkuu tuliongoza 2 bila lakini muda si mrefu zote zikarudi mechi ikaisha 2 2.
Matokeo hayo yote asilimia kubwa tumedrop pointi kutokana na kua na MF dhaifu.
Muda wa usajili ndio huu kama kweli FSG wanahitaji hizi pointi isiwe tunazikosa hivi basi tunahitaji kuona wakinunua angalau baller mmoja.
YNWA
Heri ya mwaka mpya Mkuu .There you are shida ni middle
Klopp needs to take the issue serious
Duu hivi kumbe tunauza dead woods na ela inakwenda kwa Yankees badala irejeshwa kikosini kununua wachezaji...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili jibu linatosha mimi kulipa mahali yoyote kwa ajili yako.
Au wameishaniwahi teh teh[emoji1787][emoji1787]
Ulitabiri kuhusu man u vs wolves [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Linapokuja suala la kupambania timu kwa wanaoiponda nasimama kuitetea timu hata kama ni mbovu.
Ngapi huko?Ulitabiri kuhusu man u vs wolves [emoji1787][emoji1787][emoji1787]