Mechi ya Chelsea kulikua na covid case kibao na injury ila wakaambiwa wachukue watoto wa u18 wacheze ila hawa mbuzi wanawaogopa arsenal wameomba mechi ihairishwe na wamekubaliwa
Sidhan Kama unakijua ukisemacho...au labda unatania...,maana siamin MTU Kama wewe ukawa na haya mawazo...LAKIN NGOJA NIKUBALIANE NAWE..NIKWELI TUNAWAOGOPA ARSENAL...NA NDIO MAANA MPAKA UWANJA WA MAZOEZ UMEFUNGWA..ASENO WANATISHA MKUUZege halilali
Maajabu ya duniani, kwa mara ya kwanza kwenye uhai wangu Liverpool anamuogopa Arsenal'
Wachezaji wenye Covid ni Firmino, Alisson na Matip tu
Sidhani kama EFL watabase wagonjwa watatu kuahirisha mechi
You have made my day.Sidhan Kama unakijua ukisemacho...au labda unatania...,maana siamin MTU Kama wewe ukawa na haya mawazo...LAKIN NGOJA NIKUBALIANE NAWE..NIKWELI TUNAWAOGOPA ARSENAL...NA NDIO MAANA MPAKA UWANJA WA MAZOEZ UMEFUNGWA..ASENO WANATISHA MKUU
Kama sio waoga basi mna katimu kadogo, na kwa form ya Arsenal mngenyunyiziwa magoli ya miaka yoteSidhan Kama unakijua ukisemacho...au labda unatania...,maana siamin MTU Kama wewe ukawa na haya mawazo...LAKIN NGOJA NIKUBALIANE NAWE..NIKWELI TUNAWAOGOPA ARSENAL...NA NDIO MAANA MPAKA UWANJA WA MAZOEZ UMEFUNGWA..ASENO WANATISHA MKUU