Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hili tatizo la kuruhusu magoli mengi kirahisi linataka lukomaa Sasa, haiwezekani mtu utangulie magoli mawili alafu yarudishwe chapu kizembe hivyo. Safu ya ushambuliaji inapewa mlima isiyostahili kabisa.

Refer mechi ya Tottenham.
Tamaa ya magoli mengi ndio tatizo mechi kubwa km hii unapoongoza magoli mawili inabidi uwe na nidhamu ya kuzuia badala ya kuendelea kushambulia kwa kasi
 
2022 bombastic level EPL..

Aiseee kwamba hatuna uwezo wa kuua mechi namna hii hatari sana.

Jones ama Ox kwa kutembea na mpira ni wazuri sijui Milner 36yrs wa nini ugenini.

Katoa faulo ya kijinga sana.

Ollachuga Oc momentum kwako sasa.

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
FSG wanamzngua sana klopp

Hendo, Milner

Ni watu wa kuanzia benchi

Inashangaza sana aisee....

They are not serious

Mimi binafsi naona mafanikio tuliyoapata under klopp ndo yameishia hapo... Tumsubirie Gerald aisee labda na FSG wakiondoka

Another 5 years or ten za mateso tena

YNWA [emoji3590]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom