Nyie bado ni matakataka tu hata Kama munashinda lakini Nina hakika sisi bado tutamaliza ligi juu yenu ..apo kwenye kubeba ubingwa nilijipa uhakika Ila saivi mmmh mambo magumu aise ..lakini sisi bado ni mabingwa bana


ngoja tuwape wape eya taimu kidogo muruke ruke ili angalau musikose hata top four ..wakati mabingwa wapya tunatawazwa hapo May.
In God We Trust. Unajua sisi Chelsea ni Watoto Wa Mungu ivyo tunatingishwa kidogo ili kupimwa Imani yetu lakini ilishatabiriwa kitambo kinyama kuwa Bingwa "atatoka upande wa kaskazini"
Hivyo nyie endeleeni kuamini kwamba muña timu ya kubeba ubingwa hamujui kwamba mpira ni sayansi.
#CFC

