Bangi za Chief Hangaya unataka kuzileta huku?Hii timu inatibu harara chunusi bawasili na kirusi kipya omicron
Siempre Liverpool
Wewe huiogopi ChelseaCheki hii takataka inaropoka ropoka tu bila kutumia akili![]()
.... Leo mmevutwa kende na Everton... Hiyo ni trela bado picha la kutisha linakuja... HahahhahahhahahSalah amekua hatari kuliko bomu la nyuklia
Nasubiri mkuuHahaha Steven Gerrard alijukana zaidi kama Mr. Liverpool maana muda mwingi alisimama yeye kupambana na kuwahamashisha wengine aisee...
Powaa baadae utapata.
YNWA
I miss youBabe![]()


I don't understandBangi za Chief Hangaya unataka kuzileta huku?
Shindwa kwa jina la yesu
Dogo alipiga bonge la goli.