Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Achana na hii livakuku wewe😀😀 ..chukua uzi mkali kuliko wote, Uzi unakimbiza kwa uzuri na kwa ubora Uzi wa mabingwa wa Ulaya kwa misimu mitano ijayo mfululizo ..#TheBlues hakika hutojutia pesa yako kuvaa Brand kubwa Kama ya Chelsea.
#CFC💙💙💙
Huo uzi wa the blues ninachoweza kuufanyia ni kuuweka kama zulia la mlango wangu wakuingia chooni. 😂😂
 
Mmegawa vipigo wapi mkuu?
Litimu lenu linadraw na linazidi kuporomoka tu hadi litashika mkia.
Kushika mkia wakati sisi mabingwa.
Kwanza timu pendwa na wadada ni Chelsea na Man United. Wewe imekuwaje ukaangukia huku? Huku ni kwa wazee na mafaza tu ..au wewe mmaza Nini mkuu😂😂😂
Achana na hii takataka karibu Chamani The Blues hakika hutojutia.
 
Sisi tukianza ushindi tutavululiza game Kama 15 Hivi ni kushinda tu. Tumeanza kwa Leeds ..angalia Moto tutakaopeleka Hadi ligi imalizike lazima mojawapo ya kombe Kati ya EPL au/na uefa tunyanyue mzee😀😀

Sisi tumepata injuries wachezaji wa muhimu Sana..nyie tuseme akiumia salah au vvd tu so mutapoteana kabisa. Imagine wachezaji karibu nane wa kikosi cha Kwanza wote majeruhi
Tukimaliza hii desemba salama ..bas nawahakikishia mujiandae kisaikolojia hapo May 😀😀

#CFC💙💙💙
Ollachuga Oc umeanza ramli asa unamtaja VVD wa nini yaaani yule mwamba abakie kama alivyo na tupo salama sana aisee bila yeye kweli hujakosea tutayumba...

Salah asipokuwepo tutatukua wavumilivu naamini wengine wataongeza bidii aisee ila duuh sio VVD huyo hapana sitaki kukumbuka ya msimu alivyoumia pale Goodison Park Mwezi wa October 2020 yaaani tulipoteana mpaka Ligi inaisha tumo tumo.

Hili la mwisho upo sahihi kabisa mpaka hii desemba inaisha na ilivyo na mechi nyingi timu ikiwa bado inanusanusa kuongoza EPl basi naamini ubingwa utakua ni mbio kali sana. Bado naamini ubingwa ni timu 3 ndio zitakimbizana yaaani Manchester City favourite ya wengi akifukuzwa na Liverpool na Chelsea.

Pazuri hata sisi majeruhi wetu wanaanza kurejea mmoja kila wiki hivyo kikosi kitakua kamili sana tuedako.

Ubingwa tupo kote Uefa na EPL tupo na nyinyi Mei tutaona nani ni nani kunyanyua kwapa.

YNWA
 
Kushika mkia wakati sisi mabingwa.
Kwanza timu pendwa na wadada ni Chelsea na Man United. Wewe imekuwaje ukaangukia huku? Huku ni kwa wazee na mafaza tu ..au wewe mmaza Nini mkuu
Achana na hii takataka karibu Chamani The Blues hakika hutojutia.

Mimi ni mmaza

Nitakuwa binti wa kwanza shabiki wa liver..
Chelsea timu gani linadraw tu,,heri mninyonge kuliko kushabikia chelsea..
Nyie mabingwa wa wapi wakati timu lenu linaporomoka tu sasahivi??!!
 
Sisi tukianza ushindi tutavululiza game Kama 15 Hivi ni kushinda tu. Tumeanza kwa Leeds ..angalia Moto tutakaopeleka Hadi ligi imalizike lazima mojawapo ya kombe Kati ya EPL au/na uefa tunyanyue mzee

Sisi tumepata injuries wachezaji wa muhimu Sana..nyie tuseme akiumia salah au vvd tu so mutapoteana kabisa. Imagine wachezaji karibu nane wa kikosi cha Kwanza wote majeruhi
Tukimaliza hii desemba salama ..bas nawahakikishia mujiandae kisaikolojia hapo May

#CFC
Mkianza ushindi wapi timu limeanza kutandikwa hadi mmeporomoka kama zigo
 
Si mnasemaga mna kikosi kipana,Kumbe na nyinyi mnakikosi kimoja tu?.

Timu yenu pumzi imekata sasa hivi kila mechi mnarususu goli, hamna tena uhakika wa kushinda.

Majeruhi mlionao tatizo ni la nani? Acha kulialia mwanamke wewe.
Sisi kama liverpool tutamuoa huyo.
 
Tufanye baishara haha

Ollachuga Oc nipe bei ya Connor Gallagher chap chap huyu dogo sio wa kawaida aisee...

YNWA
Mkuu unaonaje ukashusha nondo ya huyu mwamba

Yaani nikiona hii body yake na huo mguu wake unanipa confidence ya liver kushinda.
JamiiForums-2081679152.jpg
 
Ukifanya ivyo utapata laana maana Chelsea ni timu iliyobarikiwa na ufalme wa Mungu.
Baada ya kubondwa na westham nasikia ulikimbilia uzi wa battle kati ya Nairobi na Dar es salam huku hukuonekana kabisa labda MMU kwahyo saiv umerudi tena? Na mpo nafasi ya ngapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom