Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tufanye baishara haha

Ollachuga Oc nipe bei ya Connor Gallagher chap chap huyu dogo sio wa kawaida aisee...

YNWA
Ehehehe umeona Chelsea tulivyo na matirio ya kutosha!? Muna Bei gani nyie? Wekeni mezani £75M ..sisi hatuna baya maana vijana ni wengi mnoo..

Chelsea tuna zaidi ya vijana 2300 bara zima la ulaya.🤗🤗
 
Mkuu suala la nafasi lisikupe tabu ..maana arse8 Kila msimu anaanza wa Kwanza Ila mwishowe anapoteana. Kwa hii desemba imeisha? Sisi ni mabingwa tayari hapa tunakamilisha ratiba tu.

Sasa chagueni moja, msuke ama mynyoe ..Yani asa nyie livakuku tukikutana Tena wanabamiza bao za kutosha.

Wewe huyiogopi Chelsea,??
Wewe sindio ulisema hapo juu hautoki au Westham alivyo kukojoza mambo yakabadilika?
 
Ehehehe umeona Chelsea tulivyo na matirio ya kutosha!? Muna Bei gani nyie? Wekeni mezani £75M ..sisi hatuna baya maana vijana ni wengi mnoo..

Chelsea tuna zaidi ya vijana 2300 bara zima la ulaya.🤗🤗
Chalii kwa Gallagher pale mna mtu. Ila isije kuwa ndio wale wachezaji wa mkopo tu. Ukimrudisha darajani anakuwa famba, ukipeleka loan anakuwa wa moto.
 
Ehehehe umeona Chelsea tulivyo na matirio ya kutosha!? Muna Bei gani nyie? Wekeni mezani £75M ..sisi hatuna baya maana vijana ni wengi mnoo..

Chelsea tuna zaidi ya vijana 2300 bara zima la ulaya.🤗🤗
😂😂😂😂😂😂😂2300 wachezaji au mashabiki wa Chelsea vijana...

Yule bwana mdogo tangu tupo Westbrowm namkumbali sana aisee na pale Viera hakika anafaidika nae.

Hongera sana kwa na vijana wengi chipukizi wanaokipiga levo za juu.

YNWA
 
Mkuu suala la nafasi lisikupe tabu ..maana arse8 Kila msimu anaanza wa Kwanza Ila mwishowe anapoteana. Kwa hii desemba imeisha? Sisi ni mabingwa tayari hapa tunakamilisha ratiba tu.

Sasa chagueni moja, msuke ama mynyoe ..Yani asa nyie livakuku tukikutana Tena wanabamiza bao za kutosha.

Wewe huyiogopi Chelsea,??
Tuliogope Chelsea linaloporomoka kila siku?
 
IMG-20211213-WA0001.jpg
 
Msimu huu hakutokuwa na mfumo wa magoli ya ugenini, kwa mfano tukitoa draw 1-1 Anfield na hawa IM, then tukarudiana kwao Italy tukadraw labda 3-3, hapa itakuwa dakika za nyongeza then penalties if necessary!
Imekaa powa sana.

Ile ya goli la ugenini ilikua ishu sana aisee waifutilie mbali na hapa burudani inakua safiiii

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom