Duh yaani viungo wale hawatamaniki kabisa.Hiki kipigo ni proper wake up call kwa Klopp kuhusu pale kati yaani tunakua overran kirahisi sana...
Tuombe wachezaji wetu wanaokwenda mechi za kimataifa warudi wakiwa wazima kabisa..
YNWA
Tatizo ni klop mwenyewe na mifumo yake, japo kuna maajabu goli la pili Ox anamsindikiza mtu kama mshenga vile badala acheze hata technical foul
Kabisa... Hii ni wake up call kabisa kwa Klopp pale kati tunakua too soft... The moment we lost the ball Westham waliwaza tu kupiga mpira mbele mazima..Aisee kipigo kilikuwa kinanukia tu tangu gemu ya Brighton
Nadhani tumekua na matokeo safi kabisa hivi karibuni mpaka tumesahau pengo la Gini linazidi kuonekana kabisa bila chenga...Duh yaani viungo wale hawatamaniki kabisa.
Zoumaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣Kabisa... Hii ni wake up call kabisa kwa Klopp pale kati tunakua too soft... The moment we lost the ball Westham waliwaza tu kupiga mpira mbele mazima..
Hivi bila wachezaji sahihi hii 4 3 3 naona kama tutakua na very patchy days ahead yaaani sometimes yes sometimes no...
Fabinho hawezi kuzuia mipira isifike kwa mabeki peke yake lazima apata msaada a pia wachezaji kupoteza mipira hovyo yaaani...
YNWA
Naona umebawa jana leo mapema ukamtumia ujumbe Zouma afanye jambo lake...Zoumaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣
Kuna haja ya kuingia sokoni mkuu pale katikati panahitajika damu ya moto kabisa, twende kwa Tielemans maana HENDO jua limezama, keita ndio huyo trip shamba trip garage, Thiago ndio huyo hajamatch na mfumo mpaka leo, Milner jua limesha zama ameshasoma Kilometer za kutosha.Nadhani tumekua na matokeo safi kabisa hivi karibuni mpaka tumesahau pengo la Gini linazidi kuonekana kabisa bila chenga...
Kwa sasa naona we take one game at a time otherwise hii EPL ndugu haina mwenyewe kwa sasa maana yasiyotarajiwa ndio hayooo yanatokea..
YNWA
Asee nimeenda kucheki magoli ya wanangu westham ..dah aise walistahili ushindi, maana Salah anaruka ruka tu ..mipira yote inablokiwa. Allison kageuka kuwa Shati ata Kepa anaweza mkata namba, VVD anazungushwa tu huku na kule Kama bendera🤣Ngoja nizame Yutubenga nicheki magoli ya wanangu westham
YaaniEmbu wafwate mambo yao. Kwani wao hawana team zao? [emoji34][emoji35]
mbona ndio magoli tunayofungwa kila mechi, staili hiyo hiyo na sioni timu ikibadilika kiuchezaji, mechi ambazo hatujafungwa ni zile Allison ameamka vizuri, lakini karibu kila mechi lazima itokee 1vs 1 against allison au setpieces upande wa TAA, hata mechi zijazo utaona hivo hivo kina Dijk wanakimbizana na watu tukipigwa counter, tutasema kiungo sijui wakae kina nani ila kwa huu mfumo tutapigwa magoli hayo hayo mpaka Klop ashtukeIshu ni mbili tu ndugu watuvuta kwao aafu watupige kaunta wanajua vyema muda huo TAA na Robertson watakua mbele kushambulia hivyo wakipiga kaunta wanajua vyema tutakua weak..
Ishu ya pili kona yaani Zuma anatazama mpira mpaka anakwenda kufunga TAA yupo anategemea maajabu ya Allison yaaani TAA kwenye ku defence ni mzigo..
YNWA
Yani sisi tuwashindwe Hawa Westham????embukuwa serious mkuu.Naona umebawa jana leo mapema ukamtumia ujumbe Zouma afanye jambo lake...
Matokeo haya ya leo ni ujumbe pia kwako na Pain killer haha mjiadae hawa jamaa hawatanii..
YNWA
Mkuu wale wakina canal bado niko nao uwa nakilipia ikitokea mechi nyingi dstv hawaoneshi mfano msimu uliopita europa walikuwa hawaonesh dstv...
Yeah..dstv msimu huu wamesecure Europa League.Mkuu wale wakina canal bado niko nao uwa nakilipia ikitokea mechi nyingi dstv hawaoneshi mfano msimu uliopita europa walikuwa hawaonesh dstv...
Sema bado canal ni bora mkuu, dstv mpaka compact plus ndo upate uefa yote ...ila huku 45k unajimwaga na kupambana na lugha...mechi zikichanganya huku nalipa bomba🤣🤣🤣 alafu kwingne full nabak na chenji...
Naona ameshafuta upuuzi wakeAcha bwana[emoji23]